Ray
J aliwajia juu polisi akiwatuhumu kufanya utani kwenye mwili wa Whitney
Houston baada ya muda mfupi kufariki walipoukuta mwili wake ndani ya
Hoteli imeripoti TMZ. Ra
J ambae alikuwa anamahusiano ya kimapenzi na marehemu Whitney miezi
michache kabla ya umauti kumkuta. Nje ya hoteli ambayo alifariki polisi
na wanahuduma ya kwanza walifanya ujinga wao ndani ya hoteli hiyo,
channzo kimoja...
Friday, September 20, 2013


Nikiwa kama mtanzania halisi na mdau
mkubwa wa michezo nchini hasa soka niliamua kujitosa katika kugombea
uongozi ndani ya shirikisho la soka nchini katika uchaguzi wa shirikisho
hilo ambao umepangwa kufanyika mwishoni mwa mwezi ujao.
Kwa sifa nilizonazo na mapenzi yangu
niliamua kuomba kugombea katika nafasi ya kuingia kwenye kamati ya
utendaji nikiuwakilisha mkoa wa Dar Es Salaam....



Msanii wa muziki wa bongo fleva ambaye
sasa ni mjasiriamali pia Anasteria Sanga Linah au muite Ndege Mnana amefunguka
kuwa producer wa studio ya Bhitz Pancho Latino ndiye mwenye siri nzito ya penzi
lake na msanii mwenzake Amini ambaye kwasasa penzi lao limekuwa stori ya kale
baada ya kuachana.
Linah
amesema tokea wanaanza mapenzi yao Pancho ndiye alikuwa mtu pekee anayejua
mambo mengi...
Subscribe to:
Posts (Atom)