Wataalamu wanaendelea na juhudi za kuchunguza iliko ndege ya Malaysia
China imeanza kuchunguza picha
mpya za setilite zinazoonyesha kitu kama mabaki ya ndege kwenye eneo la
kusini mwa bahari ya Hindi.
Picha hizo ni...
Saturday, March 22, 2014


Sir
Alex Ferguson (katikati) akiwa amesimama na viongozi wa chuo cha Ulster
Ireland baada ya kupewa degree ya heshima kutokana na mchango mkubwa
aliyoutoa kwenye soka hususani Man utd. Katika maneno yake mbele ya
wanachuo 500 Sir Alex alisema ' Najivunia kupokea degree hii ya heshima
kutoka kwenye chuo kikubwa kama hiki. Ninayo furaha sana kuona hata chuo
kimeona mchango wangu...


Matokeo
ya vipimo vya majeraha aliyoyapata Van Persie kwenye mechi dhidi ya
Olympiacos yameonesha mchezaji huyu atakuwa kwenye matibabu kwa wiki
sita. Majibu ya vipimo hivi yamekuwa tofauti ya fikra za wengi akiwemo
kocha Moyes waliofikiri RVP amepata majeraha madogo. Kutokana na
majeraha haya RVP ataweza kukosa mechi zifuatazo;
Mar 23: West Ham (A)
Mar 25: Man City (H)
Mar...


Ronaldo, Pepe na wapenzi wao wakiangalia mechi ya basketball kati ya Real Madrid na CSKA Moscow
Alex Oxlade-Chamberlain, Keiran Gibbs na Aaron Ramsey wakicheza pool.
Rio
Ferdinand akiwa mwenye furaha huku akiimba ndani ya gari yake siku ya
alhamisi asubuhi siku moja baada ya United kuipiga Olympiacos.
Kiungo wa Arsenal,...
Subscribe to:
Posts (Atom)