Thursday, November 5, 2015

Mwanamuiki nyota nchini Tanzania, Nassib Abdul ama Diamond Platnumz akiongea na waandishi wa habari KAMPUNI ya MultiChoice Tanzania mapema jana imezindua ofa kabambe za msimu wa siku kuu huku ikimtambulisha rasmi Mwanamuziki Diamond Platnumz kuwa balozi maalum wa bidhaa za kampuni hiyo ikiwemo kifurushi cha DSTV BOMBA chenye chaneli zaidi ya 65 ikiwemo huduma ya vituo kadhaa vya...
Mwanamuziki aliyewahi ishi nchini Tanzania na pia mwenye asili ya Congo, Jeff Maximum ambaye anaishi Ughaibuni katika shughuli zake za Muziki katika pozi ambapo kwa sasa ameachia video ya wimbo wake mpya wa "Mama Afrika" ambao wimbo huo unatangaza Utalii wa Tanzania. Mwanamuziki anayefanya kazi zake nchini Marekani na Dubai, Jeff Maximum tayari ameshaachia video ya wimbo wake...
Ushirikina ni jambo ambalo limekuwa likihusishwa kwa kiasi kikubwa katika soka hususani barani Afrika, hata katika timu zetu za Ligi Kuu Tanzania bara zimekuwa zikifanya baadhi ya vitu ambavyo vinahusishwa na imani za kishirikina, millardayo.com ilipata bahati ya kufanya exclusive interview...
Usiku wa November 4 kulichezwa michezo kadhaa ya mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya na tuliona baadhi ya vilabu vikiondoka na point tatu kwa furaha na timu nyingine zikiondoka vichwa chini baada ya kupoteza michezo hiyo, Usiku wa November 5 mechi za UEFA ndogo zilipigwa kama kawaida. Klabu...
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo kauli yake imeingia katika headlines usiku wa November 5 baada ya kuanza kuizungumzia klabu yake ya zamani ya Manchester United ya Uingereza. Staa huyo wa Real Madrid amekiri kuwa Man United...
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars inayojiandaa kwa ajili ya mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2018 dhidi ya Algeria, imeendelea na mazoezi ya kujiweka sawa kuelekea mchezo huo utakaopigwa November 14 uwanja wa Taifa Dar Es Salaam na November 17 kurudiana Algeria. Kabla ya kucheza mchezo huo Taifa Stars itacheza mchezo mmoja wa kirafiki...
Mwigizaji wa Hollywood, Marekani, Lupita Nyong’o aliweka headlines kubwa sana Africa na dunia nzima baada ya staa huyo kucheza movie iliyoingiza mamilioni ya faida kwenye movie Industry ya Hollywood, 12 Years A Slave, movie ambayo...
USIKU WA EUROPA LEO – TIMU KUTAFUTA POINTI MUHIMU, NANI KUFUZU, NANI KUFELI? Borussia Dortmund, Napoli, Rapid Wien na Braga ni miongoni mwa Timu zinazoweza kufuzu Usiku huu huku wakibakisha Mechi 2 mkononi za Makundi yao. Leo zinachezwa Mechi za 4 za Makundi na Timu 9 kati ya 48 zinaweza kufuzu hii Leo wakati Timu 5 zinaweza kutupwa nje ya Mashindano hayo hii Leo. IFUATAYO NI...

waliotembelea blog