Friday, December 20, 2013

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamisi Kagasheki ametangaza kujiuzulu wadhifa wake leo Bungeni...
Suarez,    , Suare...
  inShare MASHABIKI wa Liverpool huenda wakachekelea kwa muda kukalia usukani endapo timu yao itaichapa Cardiff City mchana wa leo Jumamosi. Arsenal inaongoza Ligi Kuu England ikiwa na pointi 35 lakini Liverpool na Chelsea itakayocheza keshokutwa Jumatatu na Arsenal wote wana pointi...
Waziri Mkuu Mizengo Pinda. Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha. WABUNGE wamewataka Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga...
Jeneza lenye mwili wa Clement Mabina likiwa mbele ya waombolezaji. Waombolezaji wakiwa katika ibada ya kuuombea mwili wa marehemu Mabina kwenye uwanja wa Ngomeni-Kisesa, Mwanza. Padre akiongoza ibada ya mazishi katika uwanja wa Ngomeni-Kisesa, Mwanza. Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja akifuatilia ibada ya kuuombea mwili wa Mabina. Ndugu na jamaa...
Emmanuel Okwi akilakiwa na shabiki maarufu wa Yanga, Steven (kulia) katika uwanja wa ndege wa Taifa wa Mwalimu Julius Kambalage Nyerere muda mfupi baada ya kufika. Mshambuliaji wa Kimataifa wa timu ya Taifa ya Uganda aliyesajiliwa na Yanga SC, Emmanuel Okwi, ametua jijini Dar es Salaam akitokea nchini Uganda. Mamia ya mashabiki wa Yanga walihudhuria katika Uwanja wa Ndege...
RATIBA MECHI ZIJAZO: Jumamosi Desemba 21 15:45 Liverpool v Cardiff 18:00 Crystal Palace v Newcastle 18:00 Fulham v Man City 18:00 Man United v West Ham 18:00 Stoke v Aston Villa 18:00 Sunderland v Norwich 18:00 West Brom v Hull      Jumapili Desemba 22 1630 Southampton v Tottenham 19:00 Swansea v Everton Jumatatu Desemba 23 23:00 Arsenal v Chelsea...

waliotembelea blog