Sunday, September 22, 2013

 Pamoja na kuzipata hizi picha kuna maswali  unaweza kuwa nayo ikiwemo Idadi ya ndege  zitakazoweza kuhudumiwa kwenye uwanja  huu mpya? utamalizika lini? gharama yake na mengine… ...
     Baadhi ya majeruhi katika shambulio la kigaidi jijini Nairobi. -Wadai Kenya ilipuuza onyo lao-Wasema ni kulipiza kisasi kwa Kenya kijihusisha katika vita ya Somalia -Watu zaidi ya 30 wadaiwa kupoteza maisha wengine wakijeruhiwa KUNDI la Alshabaab, limethibitisha kuhusika na shambulio la kigaidi lililotokea jana kwenye jengo la ghorofa nne lenye maduka la Westgate jijini...
  Mtangazaji wa habari katika kituo cha redio cha  Kiss FM kwa jina la ''Ruhila Aditya''  ni miongoni mwa waliopoteza maisha yao katika shambulizi hil...
Warembo waliobahatika kuingia kumi bora   Tano bora ya Redd's Miss Tanzania 2013 Hii ndio tano bora ya Redd's Miss Tanzania 2013 . Je nani hapa ataondoka na taji, gari na  kitita cha Milio ni 8? Warembo hao  kutoka kushoto ni Happiness Watimanywa (Miss Photogenic),  Elizabeth Pretty, Clara Bayo (Miss Sports Women), Lucy Tomeka na Latifa Mohamed.   Fainali...

waliotembelea blog