Tuesday, March 10, 2015

Kipindi cha pili dakika ya 52 Karim Benzema na kufanya 3-2 nao Schalke 04 kusawazisha bao kupitia kwa Leroy Sane dakika ya 57 na kufanya 3-3 Agg ikiwa 5-3 kiujumla. Dakika ya 84 Klaas Jan Huntelaar aliifungia bao la nne Schalke 04 na kufanya bao kuwa 4-3 Agg kuwa 5-4.Ronaldo akiwa aamini kile kilichotokea Uwanjani baada ya kufungwa bao 4-3 na bao la Ugenini kuwabeba!Wachezaji wa Schalke...
    Mshindi wa tatu wa Miss Tanzania 2014,Doris Mollel akishiriki zoezi la uchangiaji damu katika ikiwa ni sehemu ya kusherehekea Siku ya wanawake Duniani,iliyofanyika Buguruni Chama jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kushoto Ofisa Muuguzi kutoka Benki ya Damu Salama,Selina Joseph. Zoezi hilo la uchangiaji damu liliandaliwa na Mrembo huyo.  Katika kuadhimisha...
Mkurugenzi wa Hospitali ya Rufaa kanda ya Mbeya, Dk. Mpoki Ulisubisya akiwaongozwa Wakuu wa Mikoa ya Mbeya na Rukwa kuelekea Wodini kumjulia hali Mtoto Baraka aliyekatwa kiganja cha mkono wa kulia na watu wasiojulikana kijijini kwao juzi. Mtoto Baraka aliyekatwa kiganja cha mkono wa kulia na watu wasiojulikana kijijini kwao juzi akiwa amelala kitandani akiendelea kupatiwa...
Kaimu meneja Acacia Buzwagi Simon Sanga akikabidhi zawadi. Wanawake wa mgodi wa Acacia Buzwagi kupitia mfuko wa maendeleo wa mgodi huo  wameshiriki siku ya wanawake kwa kutoa misaada mbalimbali kwenye vituo viwili vya kulelea watoto yatima wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Wanawake hao kupitia kwa makamu meneja wa Acacia Buzwagi Simon Sanga wamekabidhi Misaada hiyo katika...
Freeman Mbowe akiongozana na viongozi wenzake kuelekea eneo la Mwakata wilayani Kahama Mheshimiwa Freeman Mbowe akisalimiana na mkuu wa mkoa wa Shinyanga Ally Rufunga,wa kwanza kulia ni mkuu wa wilaya ya Kahama Benson Mpesya Mheshimiwa Freeman Mbowe (mwenye miwani kushoto) na viongozi wengine wa CHADEMA Taifa wakijadiliana jambo kabla ya kukabidhi msaada kwa wahanga wa mvua...
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Cresentius Magori (wa tatu kulia) akishiriki kwenye mbio za Kilimanjaro.Baadhi ya wafanyakazi wa NSSF- Kilimanjaro wakishiriki kwenye mbio za Kilometa 5.Baadhi ya Wafanyakazi wa NSSF - Kilimanjaro wakimalizia kukimbi mbio za kilometa 5. MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeshiriki kwenye Mbio za nyika za zinazoendelea kuwa maarufu mwaka hadi mwaka...
MECHI za Marudiano za Raundi ya Mtoano ya Timu 16 za UEFA CHAMPIONS LIGI zinaanza kuchezwa Jumanne Usiku Machi 10 kwa Mechi mbili. Huko Santiago Bernabeu, Mabingwa Watetezi wa Ulaya, Real Madrid, wako kwao kurudiana na Schalke ya Germany ambayo waliitandika Bao 2-0 katika Mechi yao ya kwanzo huko Nchini Ujerumani. Real wako kwenye nafasi murua kuwa Timu ya kwanza kutua Robo Fainali ya...
Mchezaji wa Liverpool  Philippe Coutinhowakati wa Mchezo wao wao na Timu ya  Blackburn Bradford waliwaondosha  Chelsea na wanategemea kati yake na  Reading kucheza na Arsenal kutokana na Droo iliyochezeshwa punde..-BRADFORD/ READING vs ARSENAL -ASTON VILLA vs BLACKBURN/LIVERPOOL...
Dakika 90 zimemaliza Arsenal wakiwa na Ushindi wa bao 2-1, bao la Ushindi likifungwa na Danny Welbeck mchezaji wa zamani wa Timu ya Manchester United katika dakika ya 61 baada ya Valencia kufanya makosa ya kurudisha mpira nyuma.2-1Ushindi!!Umetupa bao!!Umerudi na kuua!!Danny Welbeck baada ya kutupia nyavuni bao la pili. Arsenal walitangulia kufunga kwa Bao la Dakika ya 25 la Nacho Monreal...

waliotembelea blog