MECHI
za Marudiano za Raundi ya Mtoano ya Timu 16 za UEFA CHAMPIONS LIGI
zinaanza kuchezwa Jumanne Usiku Machi 10 kwa Mechi mbili. Huko Santiago Bernabeu, Mabingwa Watetezi wa Ulaya, Real Madrid, wako kwao kurudiana na Schalke ya Germany ambayo waliitandika Bao 2-0 katika Mechi yao ya kwanzo huko Nchini Ujerumani.
Real
wako kwenye nafasi murua kuwa Timu ya kwanza kutua Robo Fainali ya
Mashindano haya kwani Mechi nyingine inayochezwa Jumanne Usiku ipo huko
Ureno kati ya FC Porto na FC Basel ambazo zilitoka 1-1 katika Mechi yao
ya kwanza huko Uswisi. RATIBA
MARUDIANO
Jumanne 10 Machi 2015
FC Porto vs FC Basel 1893 [1-1]
Real Madrid CF vs Schalke 04 [2-0]
Jumatano 11 Machi 2015
Bayern Munich vs FC Shakhtar Donetsk [0-0]
Chelsea FC vs Paris Saint-Germain [1-1]
RSS Feed
Twitter
5:20 AM
Unknown
0 maoni:
Post a Comment