Najua kuna
watu wangu wanaopenda kufanya matembezi sehemu mbalimbali duniani iwe
kwa issue zao binafsi au hata kwa issue za kibiashara. Lakini ulishawahi
kujiuliza ni viwanja gani vya ndege vyenye mvuto zaidi duniani? na Africa viko vingapi?
Nimekutana na
stori kwenye mitandao ambao wenyewe wamefanya utafiti na kuja na orodha
ya viwanja 10 vya ndege vyenye mvuto wa kipekee kwa mwaka huu...
Wednesday, August 19, 2015


Leo kwenye zile Stori za 255 amesikika Fid Q kuhusu
akaunti yake iliyotekwa,,anasema anashukuru akaunti yake kurudishwa,
aliyehusika amesikitishwa na alichokifanya, anasema baada ya kugundua
amemkosea alisikitika na kuomba msamaha kwa kile kilichotokea..tayari
alianza mikakati ya kumfungulia kesi lakini kabla ya kufanya hivyo
alipata ujumbe kutoka kwa msichana...


Mshambuliaji wa kimataifa wa Italia mwenye asili ya Ghana anayeichezea klabu ya Liverpool ya Uingereza Mario Balotelli
ambaye amezoeleka kuingia katika headlines mbalimbali kuhusiana na
tabia yake ya ukorofi na vituko vyake safari kaingia tena katika
headlines ila sio kwa ukorofi au utukukutu.
Hii ni good news kwa mashabiki watoto wa
mshambuliaji huyo kwani amekuja na Brand ya viatu...


3-1 Fellaini akishangilia bao lake la dakika za nyongeza Old Trafford!Pongezi!Marouane
Fellaini alitokea Benchi dakika ya 84 akichukua nafasi ya Nahodha wa
Man United Wayne Rooney dakika ya 90 kwenye muda wa nyongeza aliipa Man
United bao la tatu na kufanya Man unitedkuibuka na Ushindi wa bao 3-1
leo kwenye mechi ya Kwanza ya Klabu Bingwa Ulaya hatua ya Makundi. Club
Brugge hawajawahi...


Timu
ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajiwa kuondoka nchini siku ya
jumamosi usiku kuelekea Muscat Oman, kucheza mchezo wa kirafiki kabla ya
kuunganisha kuelekea Istanbul Uturuki kwa kambi ya wiki moja. Taifa
Stars imepata mwaliko wa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Taifa ya
Oman tarehe 24 Agosti, 2015 usiku, ambapo baada ya mchezo huo timu
itasafiri kuelekea nchini Uturuki...


Mabingwa wa Super Cup 2015 Athletico Bilbao baada ya wakuchapa Mabingwa Barca bao 5-1 usiku huu.Pique hoi!! akijificha uso! Gerard Piqué laomeshwa kadi nyekundu kipindi cha pili dakika ya 56.Lionel Messi alifunga bao dakika ya 43 kipindi cha kwanza na kufanya 1-0(Agg 1-4) dhidi ya Athletico Bilbao.
Aritz Aduriz dakika ya 74 aliwasawazishia bao Bilbao na kufanya 1-1 na kufanya (Agg. kuwa 1-5)...
Subscribe to:
Posts (Atom)