Video
mpya ya staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz imetazamwa na watu
zaidi ya laki nane na tisini kwa muda wa wiki moja tangu itoke Desemba
11, mwaka huu.
Mkali huyo wa Bongo Fleva anatarajia kuangusha bonge moja la shoo ndani
ya Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem, jijini Dar siku ya Krismasi,
keshokutwa.
Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz.
Akizungumzia maandalizi...