Wednesday, December 23, 2015

Video mpya ya staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz imetazamwa na watu zaidi ya laki nane na tisini kwa muda wa wiki moja tangu itoke Desemba 11, mwaka huu. Mkali huyo wa Bongo Fleva anatarajia kuangusha bonge moja la shoo ndani ya Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem, jijini Dar siku ya Krismasi, keshokutwa.    Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz. Akizungumzia maandalizi...

waliotembelea blog