PAMBANO LA AZAM FC NA JKT RUVU KATIKA PICHA
Kikosi cha JKT Ruvu kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wao
wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliofanyika katika uwanja wa Karume Dar es
Salaa dhidi ya Azam FC. Katika mchezo huo Azam iliibuka na ushindi wa
bao 4-2. Kikosi cha Azam FC. Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco akiwania mpira na mchezaji wa JKT Ruvu, Michael Aidan. ...
Friday, October 30, 2015


Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Baraka
Kizuguto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar
es Salaam leo, kuhusu timu ya taifa Taifa Stars kwenda nchini, Algeria
kwa mchezo utakaofanyika Novemba 17 mwaka huu.
Katibu wa Kamati ya Timu ya Taifa Stars, Teddy Mapunda (katikati),
akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es...


Shirikisho
la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) leo hii limeamuru Kamati ya muda
inayoongoza Chama cha Mpira Zanzibar (ZFA) iondoe mahakamani mashatka
yote dhidi ya uongozi halali wa ZFA. Katika barua yake kwenda kwa
Katibu Mkuu wa ZFA na nakala yake kuletwa TFF, CAF imesisitiza kuwa kwa
mujibu wa katiba za CAF na FIFA ni marufuku masuala ya mpira kupelekwa
mahakamani, ZFA ni mwanachama...


Shirikisho
la Mpira wa Miguu nchini (TFF), limetuma salamu za pongezi kwa viongozi
wa mpira wa miguu nchini waliochaguliwa kuwa wabunge na madiwani katika
uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, 2015. Viongozi waliochaguliwa
katika nafasi ya Ubunge ni John Kadutu – mbunge wa Ulyankulu – Tabora,
(mjumbe wa mkutano mkuu kutoka Mwanza) na Alex Gashaza – mbunge wa Ngara
(Makamu mwenyekiti...


Professor Jay ni
mmoja wa rappers waliojitahidi kuwekeza nguvu nyingi kwenye Bongo
Fleva, lakini 2015 aliamua kubadili nguvu hizo kwa kuwekeza zaidi kwenye
Siasa… Kagombea Ubunge wa Jimbo la Mikumi Morogoro na kafanikiwa kupita
kw
enye nafasi hiyo.
Prof. Jay, mshindi wa kiti cha Ubunge...
Subscribe to:
Posts (Atom)