Wednesday, December 30, 2015

LA LIGA RATIBAJumatano Desemba 30 18:00 Real Madrid CF v Real Sociedad 18:00 Levante v Malaga CF 20:15 Rayo Vallecano v Atletico de Madrid 20:15 Sevilla FC v RCD Espanyol 20:30 SD Eibar v Sporting Gijon 22:30 FC Barcelona v Real Betis 22:30 Celta de Vigo v Athletic de Bilbao 22:30 Getafe CF v Deportivo La Coruna 23:00 Las Palmas v Granada CF Alhamisi Desemba 31 18:00 Villarreal CF v Valencia...
Barclays Premier League PosLogo &TeamPWDLGDPts 1Arsenal1912341539 2Leicester City1911621239 3Manchester City1911351736 4Tottenham Hotspur199821835 5Crystal Palace19946731 6Manchester United19865630 7West Ham United19784529 8Watford19856429 9Stoke City19856129 10Liverpool18765-127 11Everton19685726 12Southampton19667324 13West Bromwich Albion19658-623 14Chelsea19559-620 15Norwich...
MARA baada ya Jumatatu Usiku kutoka Sare 0-0 na Mabingwa Watetezi Chelsea Uwanjani Old Trafford na kusitisha wimbi la kufungwa Mechi 4 mfululizo, Meneja wa Manchester United Louis van Gaal aliibuka na kutamba hana mipango ya kujiuzulu. Baada ya kuchapwa 2-0 na Stoke City Siku ya Boksing Dei, Man United waliibuka na kusakata Soka safi na kustahili kuifunga Chelsea lakini, kama kawaida,...
Patashika za Ligi Kuu England kuendelea tena leo, Kuna Mechi moja pekee ambayo itaamua nani anamaliza 2015 akiwa anaongoza Ligi. Jana, Arsenal iliichapa Bournemouth 2-0 na kutwaa uongozi wa Ligi wakiwa na Pointi 39 kwa Mechi 19 wakifuata Leicester wenye Pointi 38 kwa Mechi 18, Tottenham ni wa 3 na wana Pointi 35 kwa Mechi 19 na wa 4 ni Man City wenye Pointi 35 kwa Mechi 18. Leo huko King Power...
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David...

waliotembelea blog