Thursday, August 14, 2014

KWENYE Listi ya FIFA ya Ubora Duniani iliyotolewa Leo, Mabingwa wa Dunia Germnay bado wako Nambari Wani na Tanzania imeporomoka Nafasi 4 na sasa iko Nafasi ya 110.Timu ya juu kabia kwa Afrika ni Algeria ambayo iko Nafasi ya 24 ikifuatiwa na Ivory Coast ambayo iko Nafasi ya 25.Listi nyingine ya Ubora itatolewa Septemba 18. FIFA LISTI YA UBORA DUNIANI: Agosti 14, 2014 ...
Italy imemteua aliekuwa Kocha Mkuu wa Juventus Antonio Conte kuwa Kocha wa Timu ya Taifa yao hadi Mwaka 2016.Conte anarithi wadhifa huo kutoka kwa Cesare Prandelli ambae alijiuzulu mara baada ya Italy kutupwa nje ya Fainali za Kombe la Dunia Mwezi Juni huko Brazil waliposhindwa kuvuka hata hatua za Makundi.Conte, mwenye Miaka 45 na Kiungo wa zamani wa Italy, alijiuzulu ghafla Juventus,...
KIFUNGO cha Miezi Minne cha Luis Suarez kinabaki pale pale lakini sasa anaruhusiwa kufanya Mazoezi na Timu yake Barcelona kwa mujibu wa CAS, Mahakama ya Usuluhisho Michezoni.CAS, [Court for Arbitration in Sports], ambayo ilikuwa ikitoa uamuzi wao kuhusu Rufaa ya Suarez kwao hii Leo huko Lausanne, Uswisi, imesema itatoa maelezo ya kina kuhusu uamuzi wao huu hapo baadae.Suarez aliadhibiwa...
Kikosi cha Timu Ya Survey wakiwa katika picha ya pamoja.Wachezaji wa Survey Veterani wakiwa katika picha yapamoja Wachezaji wa Coastal U 20 kabla ya mechi.Mchezaji wa Timu ya Survey Veterani Hamad Shawejiakimtoka mchezaji wa Coastal Union U 20 katika mashindano ya kilele cha nane nanae yaiyofanyika viwanja vya mkwakwani Jijini Tanga. NA ELIZABETH KILINDI, TANGA TIMU ya Survey Veteran...
Edinson Cavani had a fine debut season with Paris Saint-Germain.Here he is at the Ligue 1 celebration party with the silver ware...
BAADA ya Msimu uliopitwa kutupwa Nafasi ya Tatu nyuma ya Mabingwa Manchester City na Liverpool kwenye Msimamo wa Ligi Kuu England, safari hii José Mourinho ametabiri Timu yake Chelsea itatawala Soka la England.Imani ya Mreno imekuja hasa baada ya kufanya mabadiliko kwenye Kikosi chake kufuatia kuondoka kwa Wakongwe Frank Lampard na Ashley Cole, Demba Ba, Samuel Eto’o na Beki wa Brazil...
Msanii OMMY DIMPOZ na wenzake wakishuka kwenye Ndege aina ya Precision leo asubuhi kwenye Uwanja wa Ndege Mjini Bukoba tayari kwa kukamua vilivyo katika mwendelezo wa Msimu wa Dhahabu na Serengeti Fiesta, Tamasha linalotarajiwa kufanyika kesho Ijumaa kwenye uwanja wa Kaitaba hapa Bukoba. Wasanii hao pamoja na watangazaji na wafanyakazi wengine wameingiatayari Bukoba wakitokea jijini Mwanza....

waliotembelea blog