Na Abdallah H.I Sulayman 'Msuni'
Wachezaji waliowahi kutamba na mabingwa wa ulaya Real Madrid
wanatarajiwa kuanza kuwasili nchini wakati wowte katika juma hili kwa
ajili ya ziara nchini ikiwemo kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya mastaa
wa Tanzania waliomaliza soka lao (Walio staafu).
Hivi sasa katika kila kona ya nchini ziara hii ya nyota hao ambao
wanakubalika vilabu mbalimbali ulaya...
Monday, August 18, 2014
RENE MEULENSTEEN: KWENDA SOKONI LAZIMA!! WAPYA 4 NI MUHIMU! VAN GAAL AAMBIWA BADO WIKI 2 AKANUNUE!!!


LOUIS
VAN GAAL ameambiwa ni lazima aende Sokoni kusaka Wachezaji Wanne wazuri
kabla Dirisha la Uhamisho halijafungwa hapo Septemba Mosi.Huo
ndio msimamo wa Kocha wa zamani wa Manchester United chini ya Sir Alex
Ferguson, Mholanzi Rene Meulensteen, ambae ametoboa Kikosi cha sasa si
imara katika mbio za Ubingwa.Jumamosi Uwanjani Old Trafford kwenye
Mechi ya kwanza kabisa ya Msimu mpya wa...


Mechi
ya kugombea Gamper Trophy dhidi ya Club Leon ya Mexico, Barcelona
wameichakaza timu hiyo bila huruma ambapo Magoli ya Barva yamefungwa na
Lionel Messi bao la mapema dakika ya 3 aliyefuata kufunga ni kijana
matata Neymar aliyetokea kwenye kujiuguza majeraha yake dakika ya 12 na
dakika ya 44 akifunga bao mbili.
Bao la tatu lilifungwa kipindi cha pili dakika 55 na Munir El Haddadi...


Diego Costa akishangilia bao lake...Andre
Schürrle akipongezana na Diego Costa baada ya kufunga bao. Chelsea
waliongoza kipindi hicho cha kwanza kwa kuwabamiza Wenyeji Burnley bao
3-1. Kipindi cha pili hakuna aliyeliona lango la Mwenzake licha ya timu
zote mbili kushambuliana kwa zamu!Kipindi
cha kwanza Dakika 14 Burnley walitangulia kufunga bao kupitia kwa Scott
Arfield baada ya kutuliza...


Klabu
ya Arsenal itajielekeza nchini Uturuki jumanne wiki hii kuchuana na
klabu ya Besiktas katika michuano ya ligi ya mabingwa. Besiktas
haijawahi kucheza na Arsenal barani Ulaya. Mechi zingine
zitakazochezwa jumanne wiki hii katika mzunguko wa kwanza ni pamoja na
FC Copenhague kumenyana na Bayer Leverkusen, huku Naples ikiwa na kazi
kubwa dhidi ya Athletic Bilbao. Mwaka
jana Arsenal...


Manchester United wanajiandaa kuwekeza kitita cha kutosha ili kuinasa saini ya Angel Di Maria kutoka Real Madrid. MASHETANI
wekundu, Manchester United wanajiandaa kumwaga paundi milioni 100
kumshawishi Angel di Maria kutua Old Trafford wakati huu klabu inahitaji
kujiboresha ili kushindania ubingwa wa ligi kuu England. Kocha
mkuu wa United, Louis Van Gaal anahitaji kusajili wachezaji...


Baadhi
ya wana Bongo dansi wakiwa katika picha ya pamoja na bendi ya vijana
Jazz wakati wa kusherehekea mwaka mmoja wa kundi hilo tangu lianzishwe
kwenye mtandao wa kijamii wa fecebook ambapo kundi hilo mpaka sasa lina
wanachama 3,086 mashabiki wa bendi mbalimbali za mziki ya dansi nchini.
picha na www.burudan.blogspot.com Baadhi ya wanachama maarufu wa Bongo dansi kushoto ni Abdulfareed...
Subscribe to:
Posts (Atom)