Thursday, June 12, 2014

Alama ya chaki ya kupulizia (spray) ni moja ya ingizo jipya kwenye michuano ya Kombe la Dunia nchini Brazil. Tayari refa ameshaitumia mara ya kwanza kwenye mechi ya ufunguzi kati ya Brazil na Croatia usiku wa kuamkia leo, pale refa alipochora kwa kupulizia na kuweka alama wapi wachezaji wasimame wakati wa kupigwa mpira wa adhabu (pichani chini), ili kuthibiti zogo la wachezaji, ama wapi...
WENYEJI, Brazil, baada ya Sherehe ya Ufunguzi ya Fainali za Kombe la Dunia iliyofana sana,walijikita Uwanjani na kucheza Mechi ya Ufunguzi kwa kuichapa Croatia Bao 3-1.Croatia ndio waliotangulia kupata Bao kwenye Dakika ya 11 baada ya Krosi ya chini kutoka Winga ya Kushoto kumkuta Fulbeki wa Kushoto wa Brazil Marcelo ambae alitumbukiza Mpira wavuni bila kutegemea.Aminia!!!! Oscar Supastaa ...
Bao la pili la Brazil limefungwa tena na Neymar kwa mkwaju wa penati baada ya mchezaji wa Croatia Dejan Lovren kumvuta jezi kwenye eneo hatari na Neymar kuachia mkwaju huo na kipa wa Croatia kuupangulia ndani lango lake na kufanya 2-1 dhidi ya Croatia. Bao la tatu lilifungwa na Oscar katika daika za majeruhi kwenye dakika ya za nyongeza 90+1, Baada ya kupewa pasi na zikiwa zimeongezwa...
You might also like: ...
Singer Jennifer Lopez, rapper Pitbull and Brazilian popstar Claudia Leitte bounced around the giant stage as they sang the official World Cup song 'We Are One (Ola Ola)' during the opening ceremonyPopstar Jennifer Lopez and rapper Pitbull performed to thousands of people at the Arena de Sao Paulo in Brazil this evening as the opening ceremony of the World Cup got underwaySuperstar Jennifer...
Meneja wa Brazil, Luiz Felipe Scolari, anatarajiwa kuutumia Mfumo wa 4-2-3-1 lakini hamna uhakika kama Kiungo wa Chelsea, Oscar, anaweza kuanza kutokana na fomu yake kuporomoka hivi karibuni.Lakini asipocheza Oscar, Mchezaji mwingine wa Chelsea, Willian, huenda akajaza nafasi yake.Croatia wanatinga kwenye Mechi hii wakiwa na pigo kubwa la kumkosa Mario Mandzukic ambae yuko Kifungoni baada...

waliotembelea blog