Thursday, June 12, 2014
11:45 PM
Unknown
11:43 PM
Unknown
Croatia ndio waliotangulia kupata Bao kwenye Dakika ya 11 baada ya Krosi ya chini kutoka Winga ya Kushoto kumkuta Fulbeki wa Kushoto wa Brazil Marcelo ambae alitumbukiza Mpira wavuni bila kutegemea.
Supastaa Neymar aliamsha sherehe Uwanja mzima na Nchi nzima ya Brazil baada ya kusawazisha kwenye Dakika ya 29 kwa Shuti la chinichini la Mguu wa Kushoto.
Kipindi cha Pili, Brazil walipewa Penati baada ya Beki wa Croatia, Lovren, kumwangusha Fred na Neymar kupiga Bao la Pili.
Huku Dakika zikiyoyoma na Croatia kujikakamua kutaka kusawazisha, kaunta ataki ya Brazil ilizaa Bao la Tatu kwa kazi njema na ya ufundi ya Oscar.
Hakunaga! Neymar akishangilia...huku macho yote ya Brazil yakiwa kwake.......
Oscar akimpelekesha Vedran
Oscar akifunga bao la tatu katika dakika za lala salama
3-1 Croatia wakijionea wenyewe
11:40 PM
Unknown
Bao la tatu lilifungwa na Oscar katika daika za majeruhi kwenye dakika ya za nyongeza 90+1, Baada ya kupewa pasi na zikiwa zimeongezwa dakika 4. Na mpira kumalizika kwa Wenyeji Brazil wakiwa washindi wa bao 3-1 dhidi ya Croatia.
Bao la pili la Brazil limefungwa tena na Neymar kwa mkwaju wa penati baada ya mchezaji wa Croatia Dejan Lovren kumvuta jezi kwenye eneo hatari na Neymar kuachia mkwaju huo na kipa wa Croatia kuupangulia ndani lango lake na kufanya 2-1 dhidi ya Croatia.
VIKOSI:
Brazil: Julio Cesar, Dani Alves, Thiago Silva, Luiz, Marcelo, Paulinho, Gustavo, Hulk, Oscar, Neymar, Fred.
Subs: Jefferson, Fernandinho, Dante, Maxwell, Henrique, Ramires, Hernanes, Willian, Bernard, Jo, Maicon, Victor.
Goal:Neymar 29 71pen, Oscar 90+1.
Croatia: Pletikosa, Srna, Corluka, Lovren, Vrsaljko, Modric, Rakitic, Perisic, Kovacic, Olic, Jelavic.
Subs: Zelenika, Pranjic, Vukojevic, Schildenfeld, Brozovic, Rebic, Sammir, Vida, Eduardo, Subasic.
Goal: Marcelo 11og.
Referee: Yuichi Nishimura (Japan)
11:35 PM
Unknown
Singer Jennifer Lopez, rapper Pitbull and Brazilian popstar Claudia Leitte bounced around the giant stage as they sang the official World Cup song 'We Are One (Ola Ola)' during the opening ceremony
Popstar Jennifer Lopez and rapper Pitbull performed to thousands of people at the Arena de Sao Paulo in Brazil this evening as the opening ceremony of the World Cup got underway
Superstar Jennifer Lopez sizzled in a sparkly green number as she performed to thousands of people at the official World Cup opening ceremony
Jennifer Lopez performed with rapper Pitbull ahead of the group A match between Brazil and Croatia, which is the opening game of the 2014 tournament
Jennifer Lopez wore a sparkling leotard as she sang the official FIFA World Cup song 'We Are One (Ole Ola)' alongside Pitbull and Claudia Leitte
J-Lo wows as she performs during the opening ceremony of the 2014 World Cup prior to the Group A match between Brazil and Croatia
Singer Jennifer Lopez was joined by rapper Pitbull and Brazilian pop star Claudia Leitte as the world's biggest football tournament commenced in Brazil this evening
Thousands of fans have gathered in the Arena de Sao Paulo in Brazil as the World Cup opening ceremony gets underway this evening ahead of the tournament's first match, which will be between Brazil and Croatia
Brazilian fans cheer during the World Cup opening ceremony
11:33 PM
Unknown
Meneja wa Brazil, Luiz Felipe Scolari, anatarajiwa kuutumia Mfumo wa 4-2-3-1 lakini hamna uhakika kama Kiungo wa Chelsea, Oscar, anaweza kuanza kutokana na fomu yake kuporomoka hivi karibuni.
Lakini asipocheza Oscar, Mchezaji mwingine wa Chelsea, Willian, huenda akajaza nafasi yake.
Croatia wanatinga kwenye Mechi hii wakiwa na pigo kubwa la kumkosa Mario Mandzukic ambae yuko Kifungoni baada ya kupewa Kadi Nyekundu kwenye Mechi yao ya Mchujo dhidi ya Iceland Mwezi Novemba.
Hata hivyo, Croatia wanae Eduardo, Mzaliwa wa Brazil, ambae ameungama akiwepo huenda akaimba Nyimbo za Taifa zote mbili ambazo huimbwa kabla Mechi kuanza.
Mvuto mkubwa kwa Duniani nzima ni kutaka kumwona Supastaa mdogo wa Brazil, Neymar, atachezaje na kama ataweza kurithi mikoba ya Lejendari Pele kwa kuwika kwenye Kombe la Dunia na kuipa Nchi yake Taji.
KOMBE LA DUNIA 2014: FIFA YATAJA MAREFA MECHI ZA JUMAMOSI! REFA BJORN KUIPERS KUCHEZESHA MCHEZO WA ENGLAND v ITALY JUMAMOSI HII...
Colombia v Greece itasimamiwa na Refa wa USA Mark Geiger mwenye Miaka 39 ambae alianza Mechi za Kimataifa Mwaka 2008.
Refa Enrique Osses wa Chile, mwenye Miaka 40, atachezesha Mechi ya Côte d'Ivoire na Japan na alianza Mechi za Kimataifa Mwaka 2005
JUMAMOSI, JUNI 14, 2014
|
||||
SAA
|
MECHI
|
KUNDI
|
UWANJA
|
REFA
|
1900
|
Colombia v Greece
|
C
|
Estadio Mineirão
|
Mark Geiger [USA]
|
2200
|
Uruguay v Costa Rica
|
D
|
Estadio Castelão
|
Felix Brych [Germany]
|
0100
|
England v Italy
|
D
|
Arena Amazonia
|
Bjorn Kuipers [Holland]
|
0400
|
Ivory Coast v Japan
|
C
|
Arena Pernambuco
|
Enrique Osses [Chile]
|
Refa wa England v Italy, Bjorn Kuipers, ni Mholanzi mwenye Miaka 41 ambae ni Mzoefu aliewahi kuchezesha Fainali 6 za Kimataifa ikiwemo ile ya Mwaka Jana ya Kombe la Mabara Uwanjani Maracana, Rio De Janeiro ambapo Brazil iliibonda Spain 3-0 na Mwezi uliopita ndie alikuwa Refa wa Fainali ya UEFA CHAMPIONS LIGI huko Lisbon, Ureno ambapo Real Madrid iliitwanga Atletico Madrid Bao 4-1.
Subscribe to:
Comments (Atom)
RSS Feed
Twitter