MSANII mahiri wa Muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' leo ametua nchini akiambatana na ndugu yake pamoja na rafiki yake wakitokea nchini China. Msanii huyo pamoja na alioambatana nao, wamewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere majira ya saa nane mchana ambapo wamelakiwa kwa shangwe na mama mzazi wa Diamond, Sanura Kassim 'Sandra'. Akiongea na Mtandao huu, Diamond ameeleza kuwa alienda nchini China kwa ajili ya mapumziko. Akiwa China, Diamond alikutana na mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu 'Madam' na kuonekana wapo 'close' jambo lililoashiria kuwa wawili hao wamerudiana.
Friday, October 25, 2013
7:42 AM
Unknown
MSANII mahiri wa Muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' leo ametua nchini akiambatana na ndugu yake pamoja na rafiki yake wakitokea nchini China. Msanii huyo pamoja na alioambatana nao, wamewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere majira ya saa nane mchana ambapo wamelakiwa kwa shangwe na mama mzazi wa Diamond, Sanura Kassim 'Sandra'. Akiongea na Mtandao huu, Diamond ameeleza kuwa alienda nchini China kwa ajili ya mapumziko. Akiwa China, Diamond alikutana na mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu 'Madam' na kuonekana wapo 'close' jambo lililoashiria kuwa wawili hao wamerudiana.
7:35 AM
Unknown
7:19 AM
Unknown
Ni Mechi pia itakayowakutanisha Mameneja
wapya kwa Timu zote, Carlo Ancelotti toka Italy kwa Real Madrid na
Gerardo Martino toka Argentina kwa Barcelona.
.
Real wako nafasi ya tatu , wakishinda michezo saba, sare moja na kupoteza mmoja kati ya tisa
Mr Barcelona:
6:43 AM
Unknown
Kwa heshima ya Mashabiki zangu Nchi na Taifa langu
ilinibidi nirudi Maalumu kabisa kwajili ya Shoo hii ya
Fiesta Jumamosi pale Leaders Club ili
kuwakaribisha wageni zetu toka nje... lakini
pia kuwadhihirishia Wageni Hao kuwa Tanzania si
ya legelege imebarikiwa Wasanii
na wenye uwezo...! Tukutane pale leaders on saturday Madau wangu...
6:26 AM
Unknown
MTANGAZAJI maarufu Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amefunguka kuwa
aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’ alitaka wazae kipindi
walipokuwa wapenzi.
Jokate alifunguka hayo juzikati alipokuwa akifanya mahojiano maalum na mapaparazi wa Global Publishers, pamoja na kufunguka mengi, alibainisha kuwa Diamond huwa anapenda watoto kwenye uhusiano.
“Mh! Diamond anapenda kuzaa, tena siyo kwangu tu wanawake wake wote huwa nasikia anataka kuzaa nao,” alisema Jokate.
Jokate alifunguka hayo juzikati alipokuwa akifanya mahojiano maalum na mapaparazi wa Global Publishers, pamoja na kufunguka mengi, alibainisha kuwa Diamond huwa anapenda watoto kwenye uhusiano.
“Mh! Diamond anapenda kuzaa, tena siyo kwangu tu wanawake wake wote huwa nasikia anataka kuzaa nao,” alisema Jokate.
Subscribe to:
Comments (Atom)
RSS Feed
Twitter

