Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' (katikati) akilakiwa na mama yake
mzazi, Sanura Kassim 'Sandra' alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea nchini China leo.
Mama Diamond akisalimiana na rafiki wa Diamond aliyetua naye leo.
Diamond akipozi na mama yake mzazi alipowasili uwanjani hapo majira ya saa nane mchana leo.
Bi. Sandra akimlaki Rommy Jones...
Friday, October 25, 2013


Msanii Alaine Laughton (katikati) akiongea na wanahabari (hawapo
pichani) wakati wa utambulisho wa wasanii wa kimataifa watakaotoa
burudani katika tamasha la Serengeti Fiesta 2013 leo katika viwanja vya
Leaders Club jijini Dar Es Salaam. Kushoto ni msanii ktoka Nigeria David
Adeleke (Davido) na Kulia ni Meneja masoko wa kampuni ya bia ya
Serengeti Allan Chonjo.Mkurugenzi wa Uzalishaji wa Vipindi...


Itakuwa ni Vita nyingine ..ni kati Lionel Messi na Cristiano Ronaldo
Ni Mechi pia itakayowakutanisha Mameneja
wapya kwa Timu zote, Carlo Ancelotti toka Italy kwa Real Madrid na
Gerardo Martino toka Argentina kwa Barcelona.
.
Real wako nafasi ya tatu , wakishinda michezo saba, sare moja na kupoteza mmoja kati ya tisa
Mr Barcelona:
...



Kwa heshima ya Mashabiki zangu Nchi na Taifa langu
ilinibidi nirudi Maalumu kabisa kwajili ya Shoo hii ya
Fiesta Jumamosi pale Leaders Club ili
kuwakaribisha wageni zetu toka nje... lakini
pia kuwadhihirishia Wageni Hao kuwa Tanzania si
ya legelege imebarikiwa Wasanii
na wenye uwezo...! Tukutane pale leaders on saturday Madau wangu... ...


MTANGAZAJI maarufu Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amefunguka kuwa
aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’ alitaka wazae kipindi
walipokuwa wapenzi.
Jokate Mwegelo ‘Kidoti’.
Jokate alifunguka hayo juzikati alipokuwa akifanya mahojiano maalum
na mapaparazi wa Global Publishers, pamoja na kufunguka mengi,
alibainisha kuwa Diamond huwa anapenda watoto kwenye uhusiano.
Nasibu Abdul...
Subscribe to:
Posts (Atom)