
Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Edward Lowassa akiwa sambamba na Mkewe Mama
Reginal akiwasili makao Makuu ya chama cha CHADEMA yaliyopo Kinondoni
jijini Dar hivi punde ,kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais kupitia
chama hicho,Mhe.Lowassa amekihama chama chake cha CCM na kujiunga na
UKAWA kupitia chama cha CHADEMA na kukabidhiwa kadi ya uanachama hivi
karibu,jijini Dar es Salaam.
Mke...