Hawa
jamaa wanapokuja na njiwa au kuku uwanjani wanamaanisha nini?, au ndio
mikwara kwa wapinzani?. Lakini njiwa hawa huwa hawaonekani pale timu
inapofungwa. Unaanzaje
kumwambia shabiki kama huyu, mwenye mapenzi makubwa na klabu yake
ahamie timu nyingine. Lakini wapo watu wanaendesha klabu watakavyo,
wanasahau kuwa kuna uwepo wa watu wenye hisia kali kama...
Thursday, March 20, 2014


KINYANG`ANYIRO
cha ubingwa wa ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2013/2014, bado
kinabaki kuwa kitendawili kwa timu zilizopo juu katika msimamo.
Sare
ya bao 1-1 jana uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam baina ya vinara
Azam fc dhidi ya Yanga imezidi kuweka mazingira magumu kwa mabingwa
watetezi, Young African.
Katika
mchezo huo uliovuta hisia za mashabiki, Yanga walikuwa wa kwanza...


NAIROBI, KENYA – 20th March,
2014 – Bharti Airtel (“Airtel”), a leading telecommunications services
provider with operations in 20 countries across Asia and Africa and
Nokia have announced that the new Nokia X smartphone will be available
to purchase across 17countries in Africa from mid April 2014.
Designed
for consumers in high-growth markets, the affordable...


Dar es Salaam. Kampuni ya Microsoft,
inayojishughulisha na utengenezaji wa kompyuta pamoja na programu,
imebuni mbinu mpya ya kukabiliana na wizi wa mitandaoni ambao
umezisababishia hasara benki, kampuni na watu binafsi katika maeneo
mengi duniani
Mkakati huo umekuja wakati benki
nyingi nchini zikiathiriwa...
Subscribe to:
Posts (Atom)