Friday, March 14, 2014

United Robin van Persie Mshambulizi wa Manchester United Robin van Persie amesema kuwa yuko tayari kuongeza muda wa mkataba wake. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka thelathini amekuwa akihusishwa na madai ya kutaka kukihama klabu hiyo kwa kuwa hana uhusiano mwema na kocha wa David Moyes na kumekuwa na fununu...
  Uli Hoeness Mahakama nchini Ujerumani imemhukumu rais wa  klabu bingwa Ulaya, Bayern Munich, Uli Hoeness, kifungo cha miaka mitatu na miezi sita jela kwa kukwepa kulipa kodi. Nyota huyo wa zamani mwenye umri wa miaka 62 alikiri kuitapeli mamlaka ya kutoza...

waliotembelea blog