Kocha David Moyes alivyokuwa anaonekana kabla ya mtanange kuanza!!Mabingwa Watetezi wa England, Manchester United, walishinda Bao 2-0 na kujikongoja Nafasi moja juu na sasa kukamata Nafasi ya 6.Hadi Mapumziko Mabao yalikuwa 0-0.Kipindi
cha Pili, katika Dakika ya 62, Robin van Persie aliipatia Man United
Bao la Kwanza kwa Penati iliyotolewa na Refa Michael Oliver baada
Patrice Evra kuangushwa...
Sunday, February 23, 2014



Rasmi: Rooney amethibitisha kusaini kwake Mkataba mpya United kwa kuandika kwenye ukurasa wake wa Facebook akisema 'furaha sana'
Na Mahmoud Zubeiry
MSHAMBULIAJI Wayne Rooney amemshukuru
kocha David Moyes jana usiku baada ya kujihakikishia mustakabali wake
katika klabu ya Manchester United, kufuatia kusaini Mkataba mpya wa
miaka mitano ambao utamfanya apate mshahara wa Pauni...
Subscribe to:
Posts (Atom)