Klabu ya Liverpool imekataa rasmi ombi la pili la Manchester City la kutaka kumsajili mshambuliaji wa Uingereza Raheem Sterling.Inaaminika kuwa ombi hilo jipya lilikuwa la kitita cha pauni milioni 35.5 ambacho kingeongezwa na kufika pauni milioni 40.Sterling
mwenye umri wa miaka 20 ambaye amehusishwa na Arsenal pamoja na Real
Madrid ana thamani ya pauni milioni 50 kulingana na Liverpool.
Wiki...
Thursday, June 18, 2015



Timu
ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro
Premium Lager, imewasili leo asubuhi Visiwani Zanzibar tayari kwa
maandalizi ya mchezo wa siku ya jumamosi dhidi ya timu ya Uganda kuwania
kufuzu kwa CHAN 2016. Msafara wa Taifa Stars unajumuisha wachezaji
21 na benchi la ufundi 7 ambao wamefikia katika hoteli ya Nungwi Inn,
mchezo dhid ya Uganda utachezwa katika...


MSHAMBULIAJI
wa timu ya Stand United,Abasarim Chidiebele akizungumza na waandishi wa
habari mkoani Tanga mara baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja wa
kuitumikia timu ya Coastal Union,Picha na Mwandishi Wetu,Tanga MSHAMBULIAJI
wa timu ya Stand United, Abasarim Chidiebele, amesaini mkataba wa
kuitumikia timu ya Coastal Union kwa mkataba wa mwaka mmoja katika msimu
ujao wa Ligi kuu ya...
Subscribe to:
Posts (Atom)