Wafungaji mabao ya Ujerumani
Ujerumandiyo timu ya kwanza
kufuzu kwenye Fainali ya kombe la dunia Brazil 2014, baada ya kuinyeshea
wenyeji Brazil mabao 7-1 katika uwanja wa Estadio Mineirao ulioko Belo
Horizonte.
Umakini wa vijana wa Joachim Low ulikuwa wa
kupigiwa mfano walipoiadhibu Brazil na kuwa timu ya kwanza kuwahi...
Wednesday, July 9, 2014


Hofu kuwa Van Persie huenda asishiriki mechi dhidi ya Argentina
Kocha wa Uholanzi Lous van Gaal
amezua taharuki baada ya kusema kuwa mashambulizi wake matata van
Persie anaugua utumbo na kuwa anahofu iwapo atacheza dhidi ya Argentika
katika mechi ya pili ya nudu fainali au la.
Kocha Van Gaal amesema kuwa nafasi yake huenda
ikachukuliwa na Nigel de Jong iwapo daktari wa timu hiyo atadhibitisha...


KAMPUNI
kubwa ya vifaa vya michezo ya Nike ya Marekani inatarajiwa kutoongeza
mkataba mwingine wa kuitengenezea jezi timu ya Manchester United
kutokana na gharama za mkataba mpya. Nike wamekuwa wakitengeneza jezi
maarufu za United toka mwaka 2002 na mkataba wao unatarajiwa kumalizika
mwakani. Kuondoka kwa Nike kunatarajiwa kutengeneza njia kwa kampuni
nyingine ya vifaa vya michezo ya...


Kocha wa Brazil Luiz Felipe hana hamu!! Hoi!! Kazi ngumu sana kwake na pia kuamini!!Andre Schürrle akishangilia moja ya bao lakeNipe tano kaka!! nimetupia mbili!!Mtanange umemalizika!Oscar akikumbatiwa na Andre Schürrle!! wanajuana Ligi kuu EnglandLuiz akipagawa huku akiangaliwa kwa machungu na Mesut OzilLuiz Gustavo ni majanga matupu!!!Ni majonzi matupu!!! Kilio!Kocha wa Brazil Felipe...
Subscribe to:
Posts (Atom)