Thursday, June 19, 2014

Itakuwa Mechi ya ‘Kufa na Kupona’ maana yeyote atakaefungwa atakuwa na nafasi finyu mno kutinga Raundi ya Pili ya Fainali za Kombe la Dunia baada ya zote, England na Uruguay, kufungwa Mechi zao za Kwanza za Kundi D.England walichapwa 2-1 na Italy na Uruguay kudundwa 3-1 na Costa Rica.Wachezaji wa England wakijifua Sao Paulo masaa 24 kabla ya kukutana uso kwa uso na UruguayMeneja wa England...

waliotembelea blog