Saturday, December 5, 2015

Man United baada  ya kukosa kukaa kileleni mwa Ligi Kuu England Wikiendi iliyopita walipotoka Sare ya 1-1 na Leicester City, sasa kazi kubwa kwa Man United Wikiendi hii ni kwanza kuhakikisha Rekodi yao ya kutofungwa Nyumbani kwao Old Trafford inadumu.Wakiwa ngomeni kwao Old Trafford, Man United wamefungwa Bao 1 tu Msimu huu na Jumamosi wanaivaa West Ham ambayo iko chini ya Kocha kutoka...

waliotembelea blog