Wednesday, June 11, 2014

ENDELEA KUTIZAMA MECHI ZAIDI KWA KUBOFYA HAPA CHINI ...
MCHEZAJI mstaafu wa timu ya soka ya KMKM Ali Issa Simai, amefariki dunia jana wakati wa magharibi baada ya kuugua kwa muda mfupi, na kuzikwa leo huko Chukwani Wilaya ya Magharibi Unguja. Marehemu, ambaye alijulikana zaidi kwa jina la ‘Kepteni’ kutokana na kuwa nahodha wa KMKM kwa muda mrefu, alikutwa na mauti nyumbani kwake Fuoni baada ya kurudi kutoka katika shughuli zake za kawaida....
Roy Hodgson ana matumaini makubwa Alex Oxlade-Chamberlain atakuwa fiti kucheza Mechi ya England ya Pili ya Kundi D la Fainali za Kombe la Dunia dhidi ya Uruguay. Winga huyo wa Arsenal hataweza kucheza Mechi ya Kwanza na Italy hapo Jumamosi Juni 14 huko Manaus, Brazil baada ya kuumia Goti walipocheza na Ecuador huko Miami, Florida Nchini Marekani Wiki iliyopita.Akithibitisha kwa Mchezaji...
The Cameroon national team has arrived in Galeao Aerial Base safely. Here, a few pics from their arrival: That’s the head coach, Finke above there Ekotto!...
Refa NISHIMURA Yuichi na wasaidizi wake SAGARA Toru na NAGI Toshiyuki REFA kutoka Japan Yuichi Nishimura amepangwa kuchezesha Mechi ya Ufunguzi ya Fainali zaKombe la Dunia kati ya Wenyeji Brazil na Croatio itakayochezwa Alhamisi Juni 12 huko Arena Corinthians, Jijini Sao Paulo.Wasaidizi wake ni kutoka Japan ambao ni Toru Sagara na Toshiyuki Nagi huku Alireza Faghani wa Iran akiwa ni Refa...

waliotembelea blog