Thursday, March 13, 2014

Robin van Persie akiwa na kiungo wa Ac Milan, Nigel De Jong wiki hii kwenye chakula cha jioni. Tetesi zinasema kuwa Ac Milan wanamtaka RVP hivyo wanamtumia De Jong kumshawishi.  Mshambualiji wa zamani wa Man utd, Eric Cantona akihojiwa na polisi kwa tuhuma za kumshambulia mtu mmoja jijini London.  Cantona akipanda kwenye gari la polisi kuelekea kituoni kwa mahojiano...
...
  Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Edward Lowasa na Anna Tibaijuka wakimpongeza Mwenyekiti Mpya wa Bunge maalum la Katiba Bw. Samwel Sitta Mara baada ya Kutangazwa Kuwa Mshindi wa Nafasi hiyo kwa Idadi ya Kura 487 dhidi ya Hashim Rungwe aliyepata kura 69 na kura zilizoharibika  ni 7   Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba na aliyekuwa Mgombe...
WAKATI zoezi la upigaji kura kuchagua, mgeni rasmi, waimbaji na mikoa itakayofanyika tamasha la Pasaka mwaka huu, baadhi ya mameneja  wa viwanja vya michezo hapa nchini wamelizungumzia tamasha hilo kwamba ingekuwa vema lingefanyika kwenye mikoa yao. Kwa kutambua umuhimu wa waumini,  mashabiki na wadau wa nyimbo za Injili hapa nchini, Kampuni...
  WEKUNDU wa Msimbazi Simba wamelaumu timu zinazoingia kwa kukamia wapinzani wao katika mitanange ya lala salama ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2013/2014. Akizungumza na mtandao huu, afisa habari wa Simba Asha Muhaji amesema hali ya kukamiana uwanjani inaharibu ubora wa mpira katika mechi mbalimbali. “Kuna wakati unaweza kushangaa, mchezaji fulani...
  Msafara wa Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo asubuhi umeondoka jijini Dar es salaam kuelekea mjini Morogoro tayari kwa mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar siku ya jumamosi, mechi itakayopigwa kwenye dimba la Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro. Young Africans inayonolewa na makocha Hans Van der Pluijm kutoka Uholanzi,...
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua Tovuti ya Taasisi ya Figo nchini baada ya kuhutubia katika  maadhimisho ya kilele cha wiki ya Afya ya figo kwenye viwanja wa Nyerere mjini Dodoma  Machi 13, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)  Waziri Mkuu, MIzengo Pinda akizungumza  na watalaamu wa magonjwa ya figo katika maadhimisho  ya kilele cha...
    Kocha wa Simba SC, Mcroatia, Dravko Logarusic akitoa maelekezo kwavijana wake Na Baraka Mpenja wa Fullshangwe, Dar es salaam 0712461976 au 0764302956 WEKUNDU wa Msimbazi Simba wamelaumu timu zinazoingia kwa kukamia wapinzani wao katika mitanange ya lala salama ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2013/2014. Akizungumza na mtandao huu, afisa habari wa Simba Asha Muhaji...
Mtendaji Mkuu Bodi ya Filamu, Bi. Joyce Fisoo akiwasilisha Rasimu ya awali ya Sera ya Filamu wakati wa moja ya kikao cha wadau cha kujadili rasimu ya awali ya Sera ya Filamu kilichofanyika hivi karibuni. Kulia ni Mkurugenzi msaidizi kutoka Idara ya Sera na Mipango Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na...
  Picha zilizonaswa na mtambo wa satellite Serikali ya Uchina imechapisha picha zilizonaswa na mtambo wake wa satelite zikionyesha mabaki ya kitu kipana kikielea katika bahari ya Kusini mwa Uchina. Picha hizo zilipigwa siku ya Jumapili, saa...
Sergio Aguero ndiye mfungaji hodari wa klabu ya Man city, kwenye mchezo wa kwanza dhidi ya Barcelona hakuweza kucheza kutokana na majeraha ya mguu. Aguero amerudi dimbani wiki mbili zilizopita akicheza mechi za ligi na FA cup. Muda aliyopata kwenye mechi hizi hakika ni mazoezi tosha kuweza kuwakabili Barcelona usiku wa leo. Ubutu wa mabeki wa Barcelona inaweza kuwa ni njia rahisi kwa...
...

waliotembelea blog