WENYEJI
Chile wametinga fainali ya Copa America 2015 kufuatia ushindi wa mabao
2-1 dhidi ya Peru usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Taifa mjini Santiago:
Kwa ushindi huo, fainali Chile sasa itakutana na mshindi kati ya Argentina na Paraguay zinazomenyana usiku wa kuamkia kesho.
Eduardo Vargas aliifungia bao la kwanza akimalizia krosi ya Alexis Sanchez dakika ya 42.
Carlos Zambrano alitolewa...
Monday, June 29, 2015


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea akizungumza na wanamichezo
(hawapo pichani) kabla ya kuanza fainali ya Kombe la Chikawe katika
Uwanja wa Sokoine, mjini Nachingwea. Timu ya Black Fire kutoka Kata ya
Marambo na Timu ya Motisha kutoka Kata ya Kilimanihewa zilipambana na
Timu ya Black Fire iliibuka mshindi kwa magoli 3...


Baadhi
ya Wanamichezo wa Polisi walioshiriki Michezo ya Wakuu wa Majeshi ya
Polisi kusini mwa Afrika mwaka 2013 nchini Namibia wakiwa katika picha.
Timu za Jeshi la Polisi Tanzania
zitakazoshiriki michezo ya Umoja wa Wakuu wa Majeshi ya Polisi kwa nchi
za kusini mwa Afrika (SARPCCO), mwishoni mwa mwezi julai nchini
Swaziland...
Subscribe to:
Posts (Atom)