Wachezaji wa Stand United wakipasha muda mfupi kabla ya kipute kuanzaWachezaji wa Stand United ya mjini Shinyanga wakipasha kwenye Uwanja wa Kaitaba punde.....
Saturday, October 18, 2014


NEWCASTLE
imeamua kuchukua hatua kujikinga na Ugonjwa wa Ebola kwa kuwapima
Wachezaji wao wanaorejea Klabuni baada ya Mechi za Kimataifa toka Barani
Afrika.Gonjwa la Ebola limeikumba Afrika Magharibi na kuua Watu
zaidi ya 4,000 na hivi sawa huko Uingereza Vituo vya Forodha vya Majini
na kwenye Ndege Watu hupimwa Ugonjwa huo.Sasa
Klabu ya Newcastle nayo imeamua kuwapima Wachezaji wao Waafrika...
Subscribe to:
Posts (Atom)