
Mhariri
mkuu wa Bongo5 Bw. Fredrick Bundara (kushoto) akiwa pamoja na Mhariri
msaidizi, Sandu George wakizungumza leo na waandishi wa habari katika
uzinduzi wa Tuzo za watu 2015.
Kampuni
ya Bongo5 Media Group, imezindua msimu mpya na wa pili wa Tuzo za Watu
Tanzania zilizoanzishwa mwaka jana ili kuwatuza watu kwenye sekta ya
burudani na habari wanaofanya vizuri.
Akiongea
...