Thursday, March 26, 2015

Mhariri mkuu wa Bongo5 Bw. Fredrick Bundara (kushoto) akiwa pamoja na Mhariri msaidizi, Sandu George wakizungumza leo na waandishi wa habari katika uzinduzi wa Tuzo za watu 2015. Kampuni ya Bongo5 Media Group,  imezindua msimu mpya na wa pili wa Tuzo za Watu Tanzania zilizoanzishwa mwaka jana ili kuwatuza watu kwenye sekta ya burudani na habari wanaofanya vizuri. Akiongea ...
Meneja wa Chelsea Jose Mourinho ndie yupo juu kwenye Listi ya Mameneja wa Soka wanaevuna fedha nyingi na kwenye 5 Bora pia wamo wenzake wa Ligi Kuu England Arsene Wenger wa Arsenal na Louis van Gaal w Manchester United. Orodha kamili ni kama ifuatavyo: 1. Jose Mourinho (Chelsea) - £13.2m Kipato kwa Mwaka 2. Carlo Ancelotti (Real Madrid) - £11.4m...

waliotembelea blog