Monday, February 23, 2015

BAADA ya Wiki iliyopita kuchezwa Mechi 4 za Kwanza za Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ya UEFA CHAMPIONS LIGI, Wiki hii nayo zipo Mechi 4 za mwisho kumalizia Mechi za Kwanza za Raundi hiyo. KESHO Jumanne Usiku zipo Mechi mbili moja ikiwa huko Etihad Jijini Manchester wakati Manchester City watakapoivaa FC Barcelona na nyingine huko Mjini Turin Nchini Italy wakati Mabingwa wa Italy na Timu...

waliotembelea blog