
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akishuka kutoka kwenye Helkopta
anayoitumia kwa ziara zake za Kampeni, wakati akiwasili kwenye Uwanja
wa Fatuma, katika Jimbo la Muleba Kusini, Mkoani Kagera leo Septemba 15,
2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (CHADEMA),...