Sunday, November 8, 2015

Bao za Kipindi cha Pili za Jesse Lingard na Juan Mata Leo zimewapa Manchester United ushindi wa Bao 2-0 walipocheza na West Bromwich Albion kwenye Mechi ya Ligi Kuu England Uwanjani Old Trafford. Mapema Kipindi cha Pili, Lingard, mwenye Miaka 22, aliifungia Man United Bao la Kwanza kwa shuti la kupinda na Juan Mata kuongeza Bao la Pili katika Dakika za Majeruhi kwa Penati baada ya Anthony...

waliotembelea blog