
Waziri
wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo,Mh.Nnape Nnauye akiwa katika picha
ya pamoja na na baadhi ya Wakuu wa Idara ya Habari Maelezo na Wahariri
kutoka vyombo mbalimbali vya habari mapema leo,alipokutana nao na
kujadili changamoto mbalimbali zinazoikabiri tasnia hiyo,mkutano huo
umefanyika kwenye moja ya ukumbi ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.
...