Wilfried
Bony dakika 27 aliipatia bao la kwanza City na kufanya 1-0 baada ya
kulishwa mpira na Fernando. Dakika ya 40 Fernando aliwapatia bao la
pili City na kufanya bao kuwa 2-0 dhidi ya West Brom Albion.
Dakika ya 77 David Silva anaipatia bao la 3 City na kufanya bao kuwa 3-0.Kadi
nyekundu kwa Gareth McAuley imewafanya wacheze pungufu West Brom
Alibion katika kipindi cha kwanza...
Saturday, March 21, 2015


Sturridge,
Lallana, Johnson, Steven Gerrard, Rickie Lambert wote furaha wakti wa
Mazoezi kujiandaa na Mtanange wao kwao dhidi ya Man United.
Timu zote zinatinga kwenye Mechi hii
zikiwa kwenye fomu nzuri kwa Liverpool kushinda Mechi 5 mfululizo za
Ligi Kuu England na Man United kushinda Mechi 3 mfululizo zilizopita. Baada
ya Liveroool kuchapwa 3-0 Uwanjani Old Trafford hapo Desemba 14...
Subscribe to:
Posts (Atom)