Saturday, March 21, 2015

Wilfried Bony dakika 27 aliipatia bao la kwanza City na kufanya 1-0 baada ya kulishwa mpira na Fernando. Dakika ya 40 Fernando aliwapatia bao la pili City na kufanya bao kuwa 2-0 dhidi ya West Brom Albion.  Dakika ya 77 David Silva anaipatia bao la 3 City na kufanya bao kuwa 3-0.Kadi nyekundu kwa Gareth McAuley imewafanya wacheze pungufu West Brom Alibion katika kipindi cha kwanza...
Sturridge, Lallana, Johnson, Steven Gerrard, Rickie Lambert wote furaha wakti wa Mazoezi kujiandaa na Mtanange wao kwao dhidi ya Man United. Timu zote zinatinga kwenye Mechi hii zikiwa kwenye fomu nzuri kwa Liverpool kushinda Mechi 5 mfululizo za Ligi Kuu England na Man United kushinda Mechi 3 mfululizo zilizopita. Baada ya Liveroool kuchapwa 3-0 Uwanjani Old Trafford hapo Desemba 14...

waliotembelea blog