SERIKALI
imesema inaangalia uwezekano wa kubadili sheria ya ndoa ya mwaka 1971
ambayo inaruhusu mtoto wa kike kuolewa akiwa na miaka 15 badala yake
iruhusu umri wa kuolewa uanzie miaka 18.Aidha imeeleza kuwa ndoa za
utotoni kwa kiasi kikubwa zimekuwa zikirudisha nyuma maendeleo ya watoto
wa kike, kutokana na wengi wao kuachishwa shule na kuozeshwa.
Hayo
yameelezwa jana jijini Dar...
Friday, October 11, 2013


MOJA YA KIBANDA CHA MAMA NTILIE KIKIWA KIMEBOMOLEWA
BATI ZINONESHA HATA HANA MUDA MREFU TOKA ZIEZEKWE
MMILIKI WA MGAHAWA AKIELEZEA KUWA WALIAMBIWA NA BIBI AFYA KUWA WAEZEKE
MABATI NA SI MATURUBAI CHAKUSHANGAZA HATA BATI LAKE JIPYA LIMENG'OLEWA
HATA WALIPOOMBA WATOE KISTAARABU HAKURUHUSIWA
MAWAZO TELE; CHAKULA HAKIJAISHA, FAMILIA NITAILEAJE NA MAISHA YATAENDESHWAJE SASA...!
HIFADHI...


Mkali
ambae mwaka jana alidondoka kwenye Fiesta mkali Rick Ross ametangaza
tarehe ya kuachia album yyake mpya inakuja inayoitwa “Mastermind”. Albam
hiyo yam kali kutoka kampuni ya M.M.G The Bawse Rozay amesema albam
hiyo ya “Mastermind” itatoka December 17 mwaka huu wa 2013. Albam ya
Rick Ross “Mastermind” inafuata baada ya ile albam yake iliyofanya
vizuri ya “God Forgives I Don’t” ambayo ilitoka...


Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. JAKAYA KIKWETE amewaagiza Wakuu
wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini kuhahakisha kuwa
shule zote za sekondari za kata, zahanati na vituo vyote vya afya nchini
vinawekewa umeme haraka iwezekanavyo. Kwa
mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu imeeleza kuwa Rais KIKWETE amesema kwa maeneo yenye umeme wa...



Kupitia account
yake ya Instagram msanii mkali wa bongo fleva anayeteka mabinti wengi
mjini hapa amewaonyesha mashabiki wake gari yake mpya aliyoinunua. Gari
hii ya Nissan ingawa sikuweza kujua kwa haraka haraka ni Nissan gani
ameonekana akifurahia manufaa ya kazi zake anazozifanya kupitia jukwaani
na aina ya maandishi anayoyaandika ili tu kujipatia ridhiki. Mbali ya
hili...



Kampuni ya Ndege ya Fastjet imedaiwa
kukiuka agizo la Mamlaka ya Usafiri wa Anga
(TCAA) ya kutakiwa kukutana na
mfanyabiashara Majaliwa Mbasa kumaliza
mgogoro uliopo kufuatia kampuni hiyo
kushindwa kumsafirisha kutoka Dar es Salaam
kwenda Johannesburg, Afrika Kusini.
Kwa mujibu wa barua ya TCCAA yenye
kumbukumbu namba TCAA/0.10/350/139
iliyoandikwa Oktoba 2 mwaka huu na
kusainiwa na James Mabala...



Wengi
walioipata hii taarifa wanashangaa imekuaje ni viungo tu vya binadamu
vimepatikana kwenye kontena zima vikiwa vinaingizwa Kenya? vinakwenda
wapi? kazi yake ni nini?
Taarifa
iliyoripotiwa na Citizen TV Kenya inasema Shehena hii iliyokamatwa
baada ya kupitishwa kwenye bandari ya Mombasa inasemekana...



*Asema uamuzi wake haukushirikisha wizara nyingine*Adai wadau walipaswa kupewa muda zaidi, aonya rushwa
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amemuonya Waziri wa Ujenzi, Dk. John
Magufuli kwa mara nyingine tena kuacha tabia ya kufanya uamuzi wa jambo
lolote bila kushirikisha pande zinazohusika.Mbali ya karipio
hilo, Waziri Mkuu amewataka viongozi wengine wa Serikali, kuepuka mfumo
usio shirikishi...



Mr. President, the faculty, staff, students, invited guests and the
public at large. Allow me to express my gratitude, for the cordial
welcome at your lovely campus. It is one of a kind, and If I could, I
would have stayed much longer to learn more on your success that I could
take back to our young people. The environment and the surroundings are
as beautiful as the people...


Kamishna
Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja akisalimiana na Balozi
wa Jumuiya ya Ulaya Nchini Tanzania, Mhe. Gilberto Sebregondi ambaye
aliongoza ujumbe wa Mabalozi wa Jumuiya ya Nchi za Ulaya katika ziara
yao leo Oktoba 10, 2013 Gereza Kuu Ukonga, Jijini Dar es Salaam ili
kujionea namna ambavyo Jeshi la Magereza linazingatia kikamilifu masuala
ya Haki za Binadamu na Utawala...
Subscribe to:
Posts (Atom)