KIUNGO wa Argentina Javier Mascherano amekubali kusaini Mkataba mpya na Klabu yake Barcelona utakaomweka huko Nou Camp hadi Mwaka 2018.
Habari hizi zimetangazwa na Klabu ya
Barcelona hii Leo na pia wamethibitisha Mchezaji huyo amesharudi
Mazoezini baada ya kupewa muda zaidi wa kupumzika kufuatia Fainali za
Kombe la Dunia huko Brazil ambapo Argentina ilifungwa 1-0 na Germany
kwenye Fainali...
Saturday, August 16, 2014
LIGI KUU ENGLAND HAINA ADABU! LOUIS VAN GAAL AKARIBISHWA KWA BAKORA 2-1 OLD TRAFFORD NA SWANSEA CITY


LIGI kuu soka nchini England siku zote haina adabu kabisa!.
Kocha mpya wa Manchester United ,
Mholanzi, Louis van Gaal amekaribishwa na kipigo cha mabao 2-1 katika
mchezo wa ufunguzi wa ligi kuu dhidi ya Swansea City ndani ya dimba la
Old Trafford.
Hii ni mara ya kwanza kwa Man United kupoteza mechi ya ufunguzi wa msimu katika uwanja wake wa Old Trafford.
Swansea City walikuwa wa kwanza...


Msanii
wa kundi kijulikanacho kama International, Moses Nyama akiwaongoza
wenzake wakati wa onyesho la Serengeti fiesta 2014, lililofanyika jana
jioni Uwanja wa Kaitaba, mjini Bukoba. Tamasha hilo linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia bia yake ya Serengeti Premium Lager.
Msanii wa bongo fleva, Omary Nyembo ‘Ommy...



Redd's
Miss Kinondoni 2014, Maria Shila akipunga mkono baada ya kutawazwa kuwa
malkia wa Kanda ya Kinondoni katika shindano lililoshirikisha wanyange
16 waliokuwa wakiwania tiketi ya kushiriki shindano la Miss Tanzania
2014. Shindano hilo lilifanyika Dar es Salaam usiku wa kuamia leo.
Shila
ameungana na warembo wengine Camila Cindy John aliyeshika nafasi ya
pili...


Jumamosi Agosti 16
14:45 Man United v Swansea [Old Trafford]
17:00 Leicester v Everton [King Power Stadium]
17:00 QPR v Hull [Loftus Road Stadium]
17:00 Stoke v Aston Villa [Britannia Stadium]
17:00 West Brom v Sunderland [The Hawthorns]
17:00 West Ham v Spurs [Boleyn Ground]
19:30 Arsenal v Crystal Palace [Emirates Stadium]
Jumapili Agosti 17
15:30 Liverpool v Southampton [Anfield]
18:00 Newcastle v Man City [St. James' Park]
Jumatatu Agosti 18
22:00 Burnley v Chelsea [Turf Mo...
Subscribe to:
Posts (Atom)