Steven Gerrard alionekana mweny huzuni baada ya kuchapwa 3-1 na West Ham
BRENDAN Rodgers ametetea kiwango cha Steven Gerrard, akisisitza kuwa nahodha huyo mkongwe wa Liverpool hahitaji kupumzika zaidi.
Gerrard mwenye miaka 34, amecheza kila
dakika msimu huu, zikiwemo mechi tatu katika wiki na kushuhudia
Liverpool akipoteza michezo miwili ya ligi kuu mbele ya Aston...
Monday, September 22, 2014


Mathieu Debuchy atakuwa nje ya Uwanja kwa Miezi Mitatu baada ya kufanyiwa operesheni ya Enka yake. Debuchy,
mwenye Miaka 29, aliumia na kutolewa nje kwa Machela Arsenal
walipocheza na Manchester City na kutoka Sare 2-2 hapo Septemba 13.
Akithibitisha
habari hizi, Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger, amesema operesheni ya
Mchezaji huyo wa Kimataifa wa France ilienda vyema lakini kuwepo nje...



Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Stamina na Ney wa Mitego
wakilishambulia jukwaa mbele ya umati wa wakazi wa mji wa Morogoro
mapema jana ndani ya uwanja wa Jamhuri.
Msanii wa Bongo Fleva Vanessa Mdee a.k.a V-Money akitumbuiza mashabiki
waliokuwa wamefurika kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro kwenye Tamasha la
Fiesta 2014.
Mmoja wa mashabiki aliyekuwa kwenye Tamasha la Fiesta akishangilia...


Bondia
Saleh Said wa Magereza 'kulia' akioneshana umwamba na Sudi Mohamed wa
Mavituzi wakati wa mpambano wa kumi bora yanayoendelea kila jumamosi
katika ukumbi wa Manyara Park Manzese Dar es salaam Said alishinda
mpambano huo
Bondia
Iddi Juma wa Midizini akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na
Jumanne Mashombo wa Ndame wakati wa mpambano wa kumi bora uliofanyika
mwishoni mwa...


Leicester City wameifunga Manchester United bao 5-3 kwenye uwanja wao wa nyumbani King PowerRobin Van Persie na Di Maria ndio wameifungia bao United kipindi cha kwanza..Di Maria akishangilia bao lake la pili kwa United ugenini huko King PowerKipindi
cha kwanza dakika ya 13 Robin Van Persie anaipachikia bao la kichwa
Manchester United baada ya kuunganisha krosi safi kama kona kutoka kwa
Radame...


Frank
Lampard alikataa kushangilia baada ya kuisawazishia bao Manchester City
dhidi ya klabu yake Chelsea aliyoitumikia karibu miaka 13.Lamapard akipongezwa na David Silva pamoja na Jesus Navas, a,bapo swala la kushangilia kawaachia wenzake!Lampard akitupia na kufunga bao usawa wa penatiAndre
Schurrle akishangilia bao lake kwa Chelsea kipindi cha pili kwenye
uwanja wa Etihad...


5
Jose Mourinho anasema mapenzi ya Frank Lampard kwa Chelsea yalikwisha baada ya kujiunga na washindani wake
JOSE Mourinho amesema mapenzi ya Frank
Lampard kwa Chelsea yamekwisha baada ya jana kuifungia Manchester City
bao la kusawazisha katika dakika za majeruhi uwanja wa Etihad.
Nyota huyo mwenye rekodi ya kufunga
mabao mengi kwa muda wote Chelsea, alitokea benchi na kuiadhibu...
Subscribe to:
Posts (Atom)