Mshindi wa taji la Miss Temeke
2014,Sitti Mtemvu akipungia mkono mara tu baada ya kutangazwa rasmi kuwa
ndie aliestahili kupata taji hilo katika shindano lililomalizika usiku
huu kwenye Ukumbi wa TCC Club,Chang’ombe jijini Dar es salaam.Kushoto ni
Mshindi wa pili,Salama Saleh na kulia ni Mshindi wa tatu,Neema
Mollely.PICHA KWA HISANI YA MICHUZIBLOG
Mwanalibeneke...
Friday, August 22, 2014


Kikundi cha Platinum Dancers
kikionyesha umahiri wao wakati wa shindano la kumsaka mshindi wa dansi
la Serengeti fiesta, lililofanyika katika Ukumbi wa Klabu Lavida , mjini
Tanga leo ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya tamasha la Serengeti fiesta
linalotarajiwa kufanyika kesho jumamosi Agosti 23 kwenye Uwanja wa
Mkwakwani mjini humo.
Majaji wa shindano la kumsaka...


Kocha Jose Mourinho akizungumza na Waandishi wa habari na akisema kuwa tayari wapo tayari na wako fiti kuikabiri Leicester.
Eden
Hazards na Filipe Luis wakikabana leo kwenye mazoezi yao ya mwisho
Stamford Bridge tayari kwa kuikaribisha timu iliyopanda Daraja msimu huu
LeicesterJon Obi Mikel na Mohamed Salah kwenye mazoezi leo huku Viongozi pamoja na Meneja Jose akiwaangalia..Salah,...


LA LIGA RATIBA Mechi za Ufunguzi Jumamosi Agosti 23 20:00 Malaga CF v Athletic de Bilbao 22:00 Sevilla FC v Valencia 22:00 Granada CF v Deportivo La Coruna 2359 UD Almeria v RCD Espanyol
Jumapili Agosti 24 20:00 SD Eibar v Real Sociedad 22:00 FC Barcelona v Elche CF 22:00 Celta de Vigo v Getafe CF 23:59 Levante v Villarreal CF
Jumatatu Agosti 25 21:00 Real Madrid CF v Cordoba 23:00...



Kocha Msaidizi wa Tanzania XI, Jamhuri
Kihwelo ‘Julio’ (kushoto) akizungumza na nyota wa zamani wa Real Madrid,
Fernando Sanz Duran.
Kiungo
wa zamani wa Real Madrid, Luis Figo akizungumza na waandishi wa habari
jana (hawapo pichani). Wa kwanza kulia ni nyota mwingine wa Real Madrid,
Christian Karembeu na katikati ni mratibu wa ziara ya wanasoka hao,
Mkurugenzi wa Kampuni...


+3
Anakwenda Merseyside? Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea Samuel Eto'o anaweza kujiunga na Liverpool.
MCAMEROON, Samuel Eto'o yuko tayari kukamilisha usajili wa ghafla kujiunga na Liverpool.
Mario Balotelli aliwasili Merseyside
jana kujaribu kukamilisha uhamisho wa paundi milioni 16 kujiunga
Anfield, lakini kama dili litashindikana, nafasi yake itachukuliwa na
Mcameroon.
Inafahamika...


Na Baraka Mpenja
NUSU fainali ya klabu bingwa Afrika Mashariki na
kati, Kombe ka Kagame iliendelea jana mjini Kigali, nchini Rwanda na kupata
klabu mbili za kucheza fainali na hatimaye kupatikana bingwa atayechukua kombe
lililoachwa na Vital’O ya Burundi.
Katika nusu fainali ya kwanza, El Merreikh ya
Sudan ilitinga fainali baada ya kuifunga KCC ya Uganda kwa penalti 3-0.
Mshindi alipatikana...


Dakikaya
37 kipindi cha kwanza Thomas Müller anaifungia bao la kwanza Bayern
Munich kwa kufanya 1-0 dhidi ya Wolfsburg baada ya kazi nzuri ya Arjen
Robben kwa kukatiza ndani ya box na kupiga chenga mabeki na kutoa pasi
iliyoguzwa na Muller na
kutinga nyavuni.Dakika 37 akishangilia bao lake1-0
Dakika ya 47 Arjen Robben aliwaipachikia bao la pili na kufanya 2-0 akipewa pasi na Robert Lewandowski.
Ivica...



Mkurugenzi
mtendaji wa Airtel Bwana Sunil Colasa akiongea na waandishi wa habari
leo hii (hawapo pichani) akiwatangazia kuanza kutumika rasmi kwa huduma
mpya ya kutuma na kupokea pesa kutoka kwenye mitandao mingine moja kwa
moja kwenye akaunti zao za Airtel money, (interoperability) huduma hii
ni ya kwanza Duniani ambapo inaaminika kuwa itasaidia sana wateja wa
Airtel Money...



‘Mimi na Yanga tulikua na makubaliano ya mkataba na hakuna
ukweli kwamba Mshahara niliokua nalipwa Yanga ni mdogo, mshahara usingekua
unatosha nisingekubali kusaini mkataba‘
‘Ni kweli kuna
mambo mengi hayapo sawa kati yangu na club yangu yaYanga ila ni mambo ya ndani ambayo nisingependa
kuyazungumzia, ni mambo madogo ambayo nadhani yanaweza kuisha‘
‘Hakuna ukweli kwamba mimi nakwenda...


Na Baraka Mpenja
NUSU fainali ya klabu bingwa Afrika mashariki na
kati, kombe la Kagame inaanza kutimua vumbi leo mjini Kigali, Rwanda.
Timu mbili pinzani za nchini Rwanda, Polisi na APR
zitachuana vikali ili kupata timu moja ya kucheza fainali.
Polisi walifuzu hatua hiyo kufuatia kuwatoa
Atletico ya Burundi hatua ya robo fainali kwa penati 9-8.
Mikwaju ya penalti ilitumika kuamua mshindi...



LIGI kuu soka Tanzania bara msimu wa 2014/2015 inatarajia kuanza kushika
kasi septemba 20 mwaka huu kwa timu 14 kuwania ubingwa unaoshikiliwa na Azam
fc.
Kanuni inasema kuwa ratiba ya ligi inatakiwa kuanikwa hadharani angalau
mwezi mmoja kabla ya ligi kuanza, ingawa inaweza kutangazwa hata miezi miwili
kabla kama inavyotokea ulaya.
Waendeshaji wa ligi kwa maana ya Bodi ya ligi...
Subscribe to:
Posts (Atom)