Na Boniface Wambura, Dar es salaam
Kikosi
cha Taifa Stars kinatarajia kuondoka keshokutwa (Julai 24 mwaka huu)
kwenda Mbeya ambapo kitapiga kambi ya wiki moja kujiandaa kwa mechi ya
marudiano dhidi ya Msumbiji.
Mechi
hiyo ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kutafuta tiketi ya
kushiriki Fainali za Afrika (AFCON) zitakazochezwa mwakani nchini
Morocco itafanyika wikiendi...
Tuesday, July 22, 2014


Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
KUMEKUCHA! Ndivyo unaweza kusema!.
Baraza la vyama vya soka kwa ukanda wa Afrika mashariki na kati, CECAFA limetoa
ratiba ya michuano ya klabu bingwa Afrika mashariki na kati,maarufu kwa jina la
`Kagame Cup` itakayofanyika mwaka huu, mjini Kigali nchini Rwanda kuanzia Agost
8.
Mabingwa wa Tanzania msimu wa
2012/2013, Dar Young Africans wataanza kampeni...
Subscribe to:
Posts (Atom)