Tuesday, July 22, 2014

Na Boniface Wambura, Dar es salaam Kikosi cha Taifa Stars kinatarajia kuondoka keshokutwa (Julai 24 mwaka huu) kwenda Mbeya ambapo kitapiga kambi ya wiki moja kujiandaa kwa mechi ya marudiano dhidi ya Msumbiji.  Mechi hiyo ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kutafuta tiketi ya kushiriki Fainali za Afrika (AFCON) zitakazochezwa mwakani nchini Morocco itafanyika wikiendi...
CECAFA KAGAME CUP 2014 9TH – 25TH AUGUST 2014 – RWANDA FIXTURE GROUP A                                             GROUP B                                                            ...
Na Baraka Mpenja, Dar es salaam KUMEKUCHA! Ndivyo unaweza kusema!. Baraza la vyama vya soka kwa ukanda wa Afrika mashariki na kati, CECAFA limetoa ratiba ya michuano ya klabu bingwa Afrika mashariki na kati,maarufu kwa jina la `Kagame Cup` itakayofanyika mwaka huu, mjini Kigali nchini Rwanda kuanzia Agost 8. Mabingwa wa Tanzania msimu wa 2012/2013, Dar Young Africans wataanza kampeni...

waliotembelea blog