Tuesday, December 2, 2014

MENEJA wa Manchester United Louis Van Gaal anaamini ni muhimu kabisa wimbi la ushindi kuendelea watakapocheza na Stoke City Uwanjani Old Trafford Jumanne Usiku katika Mechi ya Ligi Kuu England.Licha ya kukabiliwa na majeruhi kibao, Man United wapo Nafasi ya 4 kwenye Ligi baada ya kupata ushindi Mechi 3 mfululizo dhidi ya Crystal Palace, Arsenal na Hull City.Akiongea kwenye mahojiano kuhusu...

waliotembelea blog