Friday, November 6, 2015

Klabu ya Chelsea ya Uingereza Jumamosi ya November 7 itasafiri kuifuata Klabu ya Stoke City kucheza mchezo wake wa wa Ligi Kuu Uingereza bila kuwa na kocha wao Jose Mourinho ambaye anatumikia adhabu ya kufungiwa mchezo mmoja sambamba na faini ya pound 40,000/= kwa kosa alilolifanya la kutoa lugha chafu kwa waamuzi wa mechi ya Chelsea dhidi ya...

waliotembelea blog