Monday, October 7, 2013

Wayne Rooney ameibuka na kumpa sapoti kubwa Meneja wake David Moyes na kuwalaumu Wachezaji wenzake wa Manchester United kumwangusha Meneja wao huyo huku wakati huo huo akisisitiza England itafuzu kucheza Fainali za Kombe la Dunia Mwakani huko Brazil. Amesema: “Ni wazi Meneja yuko kwenye presha kidogo lakini tunajua kama Timu ni sisi tuliomwangusha. Lazima tukusanye nguvu pamoja na kuonyesha...
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha na Balozi  wa Marekani nchini Tanzania aliyemaliza muda wake Mhe Alfonso  Lenhardt  na mke wake  leo walipofika Ikulu kuaga na kumshukuru Rais na serikali yake kwa ushirikiano alioupata katika kipindi chake cha ubalozi hapa nchini.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuaga mke wa Balozi ...
 Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, CCM, Dk. Asha-Rose Migiro, akimlaki Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha Jamhuri ya watu ya China Ai Ping baada ya mgeni huyo kuwasili mchana huu Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kuhudhuria mkutano huo. Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) ambacho ni rafiki mkubwa wa CCM kimealikwa...
The World’s largest tortoise found in Amazon River is around 529 years old / height-59 feet/ weight-800 pounds OR 362.87 kg incredible.The red rimmed tortoise is also called the red-foot or red-legged tortoise, the Brazilian giant tortoise, or South American forest tortoise.These types of large size tortoise are always found in the Amazon River, most of them are found in (Peru, Brazil,...
  Ommy Dimpoza akipagawisha wakazi wa Carlifornia  45   katika show yake iliyofanyika Jumamosi Oktoba 5.   Ommy Dimpoz na Merce Mfanga Ligate .  Msanii Mwanamuziki wa kizazi kipya Lady C kutoka  Uganda akienda pozi kwa pozi na msanii  wa kizazi kipya Ommy Dimpoz wakati alipofanya  show Los Angeles, California usiku wa kuamkia Jumapili. ...
Diamond akiwa na Tuddy Thomas Studio  wakijaribu kutengeneza ngoma kali kwa ajili ya                                                     shabiki..Cheki picha zingine nyingi hapa chini. Source:thisisdiamond.c...
 Yombo man,Young zilla na King data  Ban B  Real mkude  Msanii Bk sande  Kamdingi Fulani na Dogo B  shemela Babu rweyemamu akiwa na shemel...
Pamoja na AC Milan kupata Bao la kuongoza Sekunde 20 tu tangu Mechi ianze, Mabingwa Watetezi Juventus walizinduka na kuichapa AC Milan Bao 3-2 katika Mechi ya Serie A iliyochezwa Jana ndani ya Juventus Stadium huko Turin. Sulley Muntari ndie aliefunga Bao la kwanza kwa AC Milan katika Sekunde ya 20 na Mkongwe Andrea Pirlo kusawazisha kwa Frikiki tamu katika Dakika ya 15.Giovinco akaipa...
2013-2014 Barclays Premier League Table   Overall Home Away   POSTEAMPWDLFAWDLFAWDLFAGDPts 1 Arsenal 7 5 1 1 14 8 2 0 1 5 4 3 1 0 9 4 6 16 2 Liverpool 7 5 1 1 ...

waliotembelea blog