Monday, November 2, 2015

MENEJA wa Chelsea Jose Mourinho atabakia kwenye kibarua chake kwa sasa licha ya Jana kutandikwa 3-1 Uwanjani kwao Stamford Bridge na Liverpool kwenye Mechi ya Ligi Kuu England ikiwa ni ni kipigo chao cha 6 katika Mechi 11 za Ligi hiyo Msimu huu. Chelsea, ambao ndio Mabingwa Watetezi wa Ligi Kuu England, wapo Nafasi ya 15 kwenye Msimamo wa Ligi wakiwa Pointi 14 nyuma ya Vinara Man City....

waliotembelea blog