Chelsea, ambao ndio Mabingwa Watetezi wa Ligi Kuu England, wapo Nafasi ya 15 kwenye Msimamo wa Ligi wakiwa Pointi 14 nyuma ya Vinara Man City.
Akihojiwa mara baada ya kipigo cha Jana kama anadhani hiyo ndio Mechi yake ya mwisho kama Meneja, Mourinho alijibu: “Hapana. Sifikirii hilo!”
Jose Mourinho na wasaidizi wake na viongozi wengin wakiteta jambo
Maswali yaliyobaki bila Majibu!!!
#3-1 walinyukwa na Liverpool wakiwa nyumbani Stamford Bridge
Jose Mourinho
RSS Feed
Twitter
11:58 PM
Unknown
0 maoni:
Post a Comment