
Rais
wa Kenya Uhuru Kenyatta ameizawadi kwa kuifadhili timu ya taifa ya soka
Harambe Stars ziara ya kwenda Brazil kutazama michuano ya kombe la
dunia Hafla ya kuikabidhi rasmi ufadhili huo timu hiyo, ilifanyika
katika ikulu ya Rais Ijumaa ambapo wachezaji kumi na moja wa timu hiyo
walikabidhiwa tiketi za ndege kwenda Brazil. Kitendo cha Rais bila
shaka ni jambo la kutaka kuwatia motisha...