Saturday, June 14, 2014

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameizawadi kwa kuifadhili timu ya taifa ya soka Harambe Stars ziara ya kwenda Brazil kutazama michuano ya kombe la dunia Hafla ya kuikabidhi rasmi ufadhili huo timu hiyo, ilifanyika katika ikulu ya Rais Ijumaa ambapo wachezaji kumi na moja wa timu hiyo walikabidhiwa tiketi za ndege kwenda Brazil. Kitendo cha Rais bila shaka ni jambo la kutaka kuwatia motisha...
Mchezaji wa Chile Gary Medel akimwendesha mchezaji wa Australia Tim Cahill Mfungaji wa bao la kwanza wa Chile Alexis Sanchez  akimfunga kipa wa Australia Maty Ryan Sanchez akishangilia bao lake la kwanza kwa ChileSanchez akishangilia bao lake la kwanza dhidi ya Australia..Mauricio Isla akiteleza kumpongeza  Sanchez kwenye konaMchezaji wa  Chile Jorge Valdivia ndie aliyeifungia...
Darly Janmaat  na Diego Costa wakiendana sambambaWasley Sneijder akifanya yakeSergio akiwekewa kigingi na NigelDiego Costa vipi...unasababisha penati...Mzee Mzima Alonso ndie aliyeipa bao kwa mkwaju wa penati SpainXabi Alonso akishangilia baoVan Persie akitupia kusawazisha...1-11-1....Van Persie akimpagawisha kipa wa Spain kwa bao la kiwangoVan Persie akishangilia bao lake Nipe tano...
Kipindi cha pili dakika za mwishoni dakika ya 80 Arjen Robben amewakaanga mabeki na kuwafunga pamoja na kipa wao Spain baada ya kuwazidi mbio na kuachia shuti kali lililofanya mabao kuwa 5-1 dhidi ya Spain ambao ni Mabingwa Watetezi wa Dunia wa Kombe hili.Historia hii...nimetupia 2!!! Dakika ya 64 tena Stefan de Vrij ameoingozea bao la tatu timu ya Netherlands na kufanya matokeo...

waliotembelea blog