
Darly Janmaat na Diego Costa wakiendana sambamba

Wasley Sneijder akifanya yake

Sergio akiwekewa kigingi na Nigel

Diego Costa vipi...unasababisha penati...

Mzee Mzima Alonso ndie aliyeipa bao kwa mkwaju wa penati Spain

Xabi Alonso akishangilia bao

Van Persie akitupia kusawazisha...1-1

1-1....Van Persie akimpagawisha kipa wa Spain kwa bao la kiwango

Van Persie akishangilia bao lake

Nipe tano bosi wangu!! Nilikwambia!! leo ni chinja chinja!!

Robben akitupia..

Kipa Cassilas leo hii kama mtoto !!

Mpaka ndani ya nyavu!! bao la tatu

Stefan akipeta baada ya kufunga bao

Van Persie tena...

Chupuchupu!!

5-1

0 maoni:
Post a Comment