HUKU
kukiwa na tetesi kuwa Mtendaji Mkuu wa Manchester United Ed Woodward
amekuwa na Kikao mahsusi cha kujadili hatima ya Meneja wao Louis van
Gaal kwenye Ofisi yao ndogo Jijini London na pia Sir Alex Ferguson
kudaiwa kuombwa ushauri wa nini kifanyike, zipo habari nzito kuwa Klabu
hiyo itafanya uamuzi mgumu muda si mrefu. Zipo habari zinazodai kuwa
Louis van Gaal atapewa Mechi 2 zijazo kurekebisha...
Tuesday, December 22, 2015


MENEJA
wa Arsenal Arsene Wenger amedai ushindi wao dhidi ya Man City ambayo ni
moja ya Timu inayotegemewa kutwaa Ubingwa wa England umewapa imani
kubwa ya kuwa Mabingwa. Arsenal hawajatwaa Ubingwa tangu 2004 lakini
Jana Uwanjani kwao Emirates Bao za Theo Walcott na Olivier Giroud za
Kipindi cha Kwanza ziliwapa ushindi licha ya City kupata Bao mwishoni
kupitia Yaya Toure na kutishia kuigeuza...


LIGI
KUU ENGLAND Usiku huu imemalizia Raundi ya Mechi zake za 17 kuelekea
zile Mechi mfululizo za mwishoni mwa Mwaka kwa mtanange uliochezwa
Emirates Jijini London wa Timu ambazo hasa ndizo zinapewa nafasi za
kutwaa Ubingwa kwa Arsenal kuifunga Manchester City Bao 2-1. Dakika 90 zimekamili 2-1 Arsenal waibuka kidedea...2-0
Ushindi...


Diamond
Platnumz akiwasalimia mashabiki wake waliofurika katika eneo la Karume
leo kwenye mkutano na wanahabari kuhusu shoo yake itakayofanyika Dar
Live kwenye Sikukuu ya Krismasi.
Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda sambamba na mashabiki waliofurika Karume leo.
Mashabiki wakiwa wamepagawa wakati Diamond akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.
Meneja
Masoko...


Mwenyekiti
wa Jumuiya ya Makanisa ya Kipentekoste (Tanzania Fellowship of
Churches) Askofu Godfrey Malassy (kushoto) akiongea na waandishi wa
Habari (hawapo pichani) leo 22 Desemba, katika Ukumbi wa Idara ya Habari
jijini Dar es Salaam kuhusu maandalizi ya Mkesha Mkubwa wa Kitaifa wa
kuliombea Taifa pamoja na dua maaum ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe....



Mwanamuziki
wa Dansi Patcho Mwamba Akiwa anaimba mbele ya washabiki wake
waliouthuria onyesho la bendi hiyo lililofanyika ndani ya ukumbi wa
Triple A uliopo ndani ya jiji la Arusha
Wanenguaji wa bendi ya Fm Academia wakifanya mambo ndani ya ukumbi wa Triple A uliopo ndani ya jiji la Arusha.
Washabiki wa bendi ya Fm Academia wakiwa wanacheza nyimbo ya heshima kwa wanawake iliyokuwa...


Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz.
UNATAKA
kwenda shoo ya Diamond, Krismasi hii? Kama ndiyo, sasa unaweza
kujipatia tiketi ya bure kwenda kwenye shoo hiyo kwa kujibu maswali
katika Gazeti la Uwazi kesho Jumanne pamoja na Risasi Mchanganyiko siku
ya Jumatano.
Jinsi
ya kushiriki, nunua gazeti lako la Uwazi au Risasi Mchanganyiko kisha
jibu maswali kiufasaha ndani ya...
Subscribe to:
Posts (Atom)