Pongezi!Mabingwa
Watetezi Chelsea leo hii wamefungwa Bao 3-1 wakiwa kwao Stamford Bridge
na Liverpool na kuzidisha presha kwa Meneja wao Jose Mourinho. Nascimento Ramires aliipa Chelsea Bao la Kwanza katika Dakika ya 4 baada ya kuunganisha Krosi ya Cesar Azpilicueta. Dakika
ya 48 Liverpool walisawazisha kwa Bao la Philippe Coutinho aliepokea
pasi ya Roberto Firmino na kuachia kigongo cha...
Sunday, November 1, 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)