Tuesday, May 27, 2014

Mbeya City Usiku huu imefungwa Bao 2-1 na AFC Leopards ya Kenya katika Mechi yao ya Pili ya KUNDI B la Mashindano ya CECAFA NILE BASIN CUP iliyochezwa huko Khartoum, Sudan. Hadi Mapumziko, Mbeya City walikuwa nyuma kwa Bao 2-0 zilizofungwa na Mudde Musa katika Dakika ya 30 na Were Paul, Dakika ya 35.Bao la Mbeya City lilifungwa na Deus Kaseke katika Dakika za Majeruhi. Kwenye Mechi ya...
Mratibu Mtendaji wa tamasha hilo la ‘Love Concert –Kumbukumbu ya Mangwea’,  Kareeem Omary ‘KO’  (kushoto) akiwa na familia ya marehemu Albert Mangwea ‘Ngwair’ Mama mzazi wa Mangwea (Katikati) na  kaka wa Mangwea, Keneth Mangwea  (kulia).   Mratibu Mtendaji wa tamasha hilo la ‘Love Concert –Kumbukumbu ya Mangwea’,  Kareeem Omary ‘KO’ . Bana...
 Fungua sana domo kaka: David Luiz  akipimwa afya katika uwanja wa mazoezi wa Granja Comary.  Imechapishwa Mei 27, 2014, saa 9:14 asubuhi. WAKATI homa ya fainali za kombe la dunia ikizidi kupanda kwa mataifa shiriki, timu mwenyeji, Brazil,  inaendelea kujiwinda vikali mno ili kubeba ndoo ndani ya ardhi yake ya nyumbani. Wachezaji wa Brazil wanaonekana...
Na Baraka Mpenja, Dar es salaam TIMU ya Taifa ya Tanzania chini ya kocha mkuu, Mholanzi, Mart Nooij inatarajia kujipima ubavu katika mechi ya kimataifa ya kirafiki jioni ya leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam dhidi ya timu ya Taifa ya Malawi (The Flames) kuanzia majira ya saa 11:00 jioni. Taifa Stars iliyopiga kambi yake mjini Tukuyu jijini Mbeya inatarajia kuwasili asuhubi...

waliotembelea blog