
Kocha
wa makipa wa Yanga SC, Juma Pondamali (kushoto) akiwa na mabosi wake,
Charles Boniface Mkwasa (katikati) na Hans van der Pluijm (kulia)
Jumatano wakati wa mchezo dhidi ya Azam FC
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
IMEZOELEKA Juma Pondamali ‘Mensah’ ni mchangamfu na mcheshi wakati wote, tangu anacheza.
Kipa
huyo wa zamani wa kimataifa nchini aliyewika Yanga SC na Pan African-
ambaye...