Saturday, August 1, 2015

Kocha wa makipa wa Yanga SC, Juma Pondamali (kushoto) akiwa na mabosi wake, Charles Boniface Mkwasa (katikati) na Hans van der Pluijm (kulia) Jumatano wakati wa mchezo dhidi ya Azam FC Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM IMEZOELEKA Juma Pondamali ‘Mensah’ ni mchangamfu na mcheshi wakati wote, tangu anacheza. Kipa huyo wa zamani wa kimataifa nchini aliyewika Yanga SC na Pan African- ambaye...
BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limemfungia mwanamuziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole kujihusisha na shughuli za sanaa kwa muda wa mwaka mmoja. Mwanamuziki huyo anayejulikana pia kama Shishi Baby amekumbwa na dhahama hiyo baada ya kusambaa kwa picha zinazomuonesha akicheza jukwaani akiwa katika mavazi yanayokinzana na maadili ya Kitanzania akiwa nchini Ubelgiji. Katibu ...
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM IKITAJWA orodha ya wachezaji waliong’ara katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame na jina la winga wa kushoto wa Azam FC, Farid Malik Mussa (pichani kulia) likakosekana itakuwa kuna mushkeli. Farid ameng’ara Kagame ya 2015 inayofikia tamati kesho Dar es Salaam na amekuwa na mchango mkubwa kwa timu yake kufika Fainali, ambako...
Ameposti kwenye Twitter picha hii MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa England, Theo Walcott amesaini Mkataba mpya wa miaka minne kuendelea kuichezea Arsenal. Katika Mkataba huo mpya, Walacott anaingia kwenye orodha ya wachezaji wanaolipwa zaidi kwenye klabu hiyo. Mpachika mabao huyo wa England sasa atakuwa anaingiziwa kwenye akaunti yake benki Pauni 140,000 kila wiki sambambaa na nyota...
Luke Shaw pictured in Manchester United's new adidas kit in Sportsmail's exclusive photograph after their £750million mega-deal Juan Mata, new signing Bastian Schweinsteiger and Ander Herrera pose in the club's new adidas kit after 13 seasons with Nike Herrera, Mata and Phil Jones were among the United players taking part in the launch of the...
 NGAO YA Jamii huko England ndio Mechi ya fungua dimba Msimu mpya na hushindaniwa kati ya Mabingwa Watetezi wa England na waliobeba FA CUP na safari hii Mabingwa Chelsea wataivaa Arsenal ambao walitwaa FA CUP Msimu uliopita. Wakati Arsenal wakitinga kwenye mtanange huo wakiwa na matokeo mazuri kwenye Mechi zao za kabla ya Msimu za kugombea Barclays Asia Trophy huko...
Kikosi cha Timu ya Black Sailor iliopanda daraja mwaka huu kucheza Ligi Kuu ya Zanzibar kwa Msimu wa mwakac 2015/2016, ilikubali kupigo cha mabao 4--0 dhidi ya timu ya Simba katika mchezo wa kirafiki uliofanyika usiku huu katika uwanja wa amaan Zanzibar. Kikosi cha Simba kilichotoa kipigo kwa Timu ya Black Sailor uwanja wa Amani usiku huu Simba ikiwa Zanzibar kwa michezo ya kirafiki...
Thomas Bach akitangaza mshindi wa kura ya uwenyeji wa Olimpiki ya msimu wa baridi 2022 Mji mkuu wa Beijing ndio utakaokuwa mwenyeji wa mashindano ya olimpiki ya msimu wa baridi ya mwaka wa 2022.Mji huo wa China umeipiku mji pinzani wa Almaty ulioko Kazakhstan . Beijing ambayo iliandaa mashindano ya Olimpiki ya mwaka wa 2008 ya msimu wa joto sasa umeingia katika daftari za kihistoria kwa...

waliotembelea blog