Tuesday, September 3, 2013

Kundi la watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakiwa na bunduki, wamefunga mtaa na kupora fedha na simu za kiganjani katika maduka 11 eneo la Mvumoni Madale, kata ya Wazo na Tegeta Kibaoni, Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.Mashuhuda wa tukio hilo, wakizungumza jana na NIPASHE, walisema tukio hilo lilitokea juzi Jumapili, majira ya saa 1:30 usiku.Hata hivyo, kumekuwa na taarifa...
Mhhh Aiseee Mie sisemi Kitu hapo ...Je wewe Unasemaje ....Je wewe  unaonaje wamefanana ama No...
SIKU chache baada ya tukio la wizi mkubwa wa fedha katika Benki ya Habibu mjini Dar es Salaam, siri nzito zimeanza kuvuja kuwa polisi wanadaiwa kuhusika katika tukio hilo kwa kuhujumu kamera za usalama za CCTV zinazomilikiwa na jeshi hilo.    Katika tukio hilo, watu wanaodaiwa kuwa majambazi walipora dola za Marekani 20,000 ambazo ni sawa na Sh milioni 32 za Tanzania. Katika...
MJADALA wa Bunge jana jioni ulitawaliwa na kauli nzito baada ya wabunge kadhaa wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kutuhumiana kuhusika na ubadhirifu katika vyama vya ushirika nchini. Hoja hiyo iliibuka wakati Bunge likijadili muswada wa sheria ya vyama vya ushirika wa mwaka 2013 uliowasilishwa na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Balozi Christopher Chiza. Aliyekuwa wa kwanza kuwasha...
...
 Mkuu wa mkoa wa kagera akiongea na wageni waalikwa katika ufunguzi wa kiwanda cha kutengeneza nguo Endeavour group ltd kilichopo kata ya kibeta bukoba manispaa,mkuu wa mkoa amewataka wahaya wote wenye uwezo wa kuwekeza waje waitengeneze bukoba sasa,kanal massawe amesema duniani kote ukienda utamkuta muhaya, na wanauwezo mkubwa,sasa umefika wakati wa kuwekeza nyumbani,amewataka wawe...

waliotembelea blog